Hii ni kawaida ama nina shida gani mimi?

Kuna nguvu za giza unazo/umepandkizwa bila kujijua.waliokupandikiza ndio wanatimiza matajwa yako unapokasirika.siku ukimkasirikia mtu mwenye nguvu zaidi ya ulizopandikizwa ndipo utajuta!
 
Kuna nguvu za giza unazo/umepandkizwa bila kujijua.waliokupandikiza ndio wanatimiza matajwa yako unapokasirika.siku ukimkasirikia mtu mwenye nguvu zaidi ya ulizopandikizwa ndipo utajuta!

me nakushaur ukafanyiwe maombi coz days is nt a coincidence
 
Every human has power in him, natural power, some has more and some has less, the issue is to know the power you have and how to use it. In life nothing is coincidence, everything has its meaning. Do you believe there are SUPER HUMAN? A person who has ability to do thing beyond normal. The thing is to use the power in a good way.

have question? Ask me.!!
 
ni pepo anakusumbua uwe mtu wa maombi na umrudie mungu kwa nini uwe ni mtu wa kukosanakosana khaaaa
 
Hapo namba 4, unadhani alidisco kwa ajiri yako? Acha utoto, hata huyo aliyekufa, we ulitaka afe lini? Au ulidhani ataishi milele?
Nilisoma thread ya memba flani ambaye alipata ndoto kwamba kuna ndege itapata ajali na nikasoma nyingine kuhusu ndugu aliyekua anakabwa sana usiku. Thread hizo ndizo hasa zilizonisukuma na mimi nitoe hili ambalo nimekua linanisumbua maishani mwangu, japo sijawahi mwambia mtu.
Nikikosana ama kukorofishana na mtu halafu nikimchukia ama kumkasirikia huyo mtu basi huwa huyo mtu anapatwa na balaa flani au anaandamwa na mikosi.
Mtu wa kwanza kuligundua hili jambo hili alikua mama yangu mzazi, nikiwa mdogo sana nilisikia siku moja mama akimuhadithia shogake (jirani yetu) lakini sikutilia maanani ila nilivyokua mkubwa ndiyo nilielewa.
Baadhi ya matukio ninayoyakumbuka ni
1. Nikiwa shule ya msingi, kuna mwanamama alikua anauza mafenesi akanidhulumu hela yangu, nikakasirika sana na nikalia sana. Kuanzia hapo huyo mama alikua kila fenesi analoleta limeharibika hadi akaacha hiyo biashara.
2. Nikiwa advance, kuna jamaa tulipigana na nikamwambia utaona, baada ya wiki jamaa akakamatwa mtaani akawa suspended na hakurudi tena shule.
3. Nikiwa chuo kuna dada mmoja alikua girlfriend wangu na tukaachana, alinitukana sana na nikamchunia. Yule dada aliandamwa na sup hadi akaja kuniomba msamaha
4. Nikiwa chuo kuna jamaa mmoja tulikosana naye, baada ya wiki kama moja hivi alidisco.
5.kuna mwalimu alinipiga sana nikiwa shule ya msingi, nilimchukia na nikajisemea rohoni natamani afe, baada ya miezi kama mitatu yule mwalimu aliugua akafa.
6. Ni juzo tu kuna jamaa mmoja alinidhulumu hela flani, nimeshtuka kukutana na huyu bwana wiki iliyopita akiwa chizi.
Matukio kama haya ni mengi sana hadi inafika kipindi mtu akinikasirisha namuomba Mungu asije akapatwa na makubwa.
Nisaidieni wakuu, hii hali kweli ni ya kawaida, binafsi sidhani kama ni coincidence kwa haya yanayotokea!!.
 
Mimi ni mkristo na naenda kanisani kila Jumapili. Na sisubiri kuombewa kwani nimekua nikijiombea mwenyewe ili Mungu aniepushe na hali hii.

Kaka yangu hilo ni pepo; unahitaji kuwa derivered. Nimepata kusikia shuhuda kama zako. Uzuri wewe hupendi na umeshajitambua hivyo maombi ni muhimu.

Kuhusu kuombewa, kumbuka ni karama za roho mtakatifu tumepewa tofauti tofauti, so waweza seek help kwa wanamaombi au prayer warriors kutegemea na dhehebu lako!
 
Back
Top Bottom