Complicator EM
Senior Member
- Dec 20, 2011
- 155
- 39
Kuwasamehe wafungwa, waliotukosea na kuanza. Tunawaomba invisible mwasamehe wale wote walipigwa bann za kudumu na za muda. Plz msimusahau WA KUSOMA, mwacheni huru tumemmis jamvini.
Nawasilisha kwa mjadala.
Nawasilisha kwa mjadala.