Wadau nimesoma kwa news flani hivi ati mtihani wa darasa la saba hapo kesho ni kuchagua kweli au sikweli kwa maswali yote pia kwa kuchagua A B C D kwa masomo yote mpaka hisabati Lol!! kweli serikali hii imechoka kila siku inauwa tu Elimu ya Bongo aibu sana tu.Sasa kuna watoto wengine wanaweza kufaulu kwa kuchagua tu hata kitu hakielewi na mwisho wa siku mtu kafaulu kizali Duuh hii kali sana.Hapa hatutapata wasomi kabisa 100% ni zero walioasisi mfumo huu ni VILAZA wakutupwa hivi wao walifanya mitihani hivi jamani kwa nini waamue kufanya hivyo.Hebu wadau wapenda nchi hii tujaribu kufahamishana na kuelewanishana about this issue