WILSON MWIJAGE
JF-Expert Member
- May 30, 2011
- 276
- 76
Wana JF,
Heri ya mwaka mpya 2012.
Wakristo wanaamini katika ndoa ya mke mmoja mme mmoja. Waislam wanaamini katika ndoa ya wake wengi yaani mme mmoja wake wengi (wasiozidi wanne), hizi zote ni ndoa za mme na mke au mme na wake. Baada ya umagharibi kushamili tunasikia ndoa za jinsia moja zinapigiwa chapuo (mwanamme kwa mwanamme AU mwanamke kwa mwanamke)
Sasa hapa kuna kisa cha kufungua mwaka 2012, Mwanamke aitwae Wei-yih Chen (30) ameamua kujioa mwenyewe baada ya kuona misukosuko ya kimapenzi katika jamii. Alialika watu takribani 30 hivi baada ya kulipa fedha ya fungate ya harusi yake na kumwita mchungaji ili amfungishe ndoa baada ya mumweleza kwamba ana umri mkubwa, kazi mzuri lakini hajapata mwamme.
Ndoa hiyo iliyotumia dola za kimarekani 1,500 (sawa na shilingi za kitanzania 2,307,000 'dola kwa leo') ilifana sana hasabaada ya watu wengi duniani kumpongeza, kwa kuwa ni uamuzi ambao unahusu maisha yake. Hii ni ndoa ya aina yake ambayo haijawahi kuwapo duniani.
Nawasilisha:yawn:
Chanzo: Tanzania Daima; Jumapili Januari 8, 2012 uk:18
Heri ya mwaka mpya 2012.
Wakristo wanaamini katika ndoa ya mke mmoja mme mmoja. Waislam wanaamini katika ndoa ya wake wengi yaani mme mmoja wake wengi (wasiozidi wanne), hizi zote ni ndoa za mme na mke au mme na wake. Baada ya umagharibi kushamili tunasikia ndoa za jinsia moja zinapigiwa chapuo (mwanamme kwa mwanamme AU mwanamke kwa mwanamke)
Sasa hapa kuna kisa cha kufungua mwaka 2012, Mwanamke aitwae Wei-yih Chen (30) ameamua kujioa mwenyewe baada ya kuona misukosuko ya kimapenzi katika jamii. Alialika watu takribani 30 hivi baada ya kulipa fedha ya fungate ya harusi yake na kumwita mchungaji ili amfungishe ndoa baada ya mumweleza kwamba ana umri mkubwa, kazi mzuri lakini hajapata mwamme.
Ndoa hiyo iliyotumia dola za kimarekani 1,500 (sawa na shilingi za kitanzania 2,307,000 'dola kwa leo') ilifana sana hasabaada ya watu wengi duniani kumpongeza, kwa kuwa ni uamuzi ambao unahusu maisha yake. Hii ni ndoa ya aina yake ambayo haijawahi kuwapo duniani.
Nawasilisha:yawn:
Chanzo: Tanzania Daima; Jumapili Januari 8, 2012 uk:18