RUV ACTVIST.
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 472
- 110
Kila kukicha utasikia watu wanaandamana, wamegoma kutoa huduma, wamefunga barabara n.k
Itatoa ishara gani hii? Watanzani wengi wanajua watawala wetu wameingia madarakani kwa uchachuaji. Hivyo hawana imani nao, Hawana imani na utendaji wao, na mbaya zaidi watawala wameshindwa kuirejesha imani kwa watanzania.
Itatoa ishara gani hii? Watanzani wengi wanajua watawala wetu wameingia madarakani kwa uchachuaji. Hivyo hawana imani nao, Hawana imani na utendaji wao, na mbaya zaidi watawala wameshindwa kuirejesha imani kwa watanzania.