hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,539
Ndo hiyo babu, ulikuwa hujawahi kufika nini au unaishangaa kwa kubadilika kwake?? Mzee wa Medical vip??? Achana na masjala, kapige picha za wodin kule!!! Hospital ya Taifa kama Zahanati. Wagonjwa huku mikoani wakiambiwa tunakurefaa Muhimbili, anakujibu kwanin mnata nikafie mbali?? Niachen nifie hapa karibu ili nisiwasumbue kusafirisha maiti. NI HATARI SANA.
Tanzania ni muhimu zaidi ya ccm so sema Tanzania hoyeeccm hoyeeeeeeee Maisha bora kwa kila Mtanzania
Mkuu usisahau na gloves kutumika Kama urinal bag, huku unashikizia na plaster.Mkuu Measkron, yaani hata continuation sheets hazipo, imagine NGT(Nasogastric tube) na gloves(clean gloves and not sterile) ndio zinatumika kufungia karatasi za wagonjwa??? zikipotea nani alaumiwe? vifaa navyo vikipotea-kama feeding tubes(NGT) zinatumika??Sijui tunaelekea wapi, kama hii ndio Hospitali ya TAIFA!!!!
Kumbe ndiyomaana VIONGOZI wanakimbilia kwa Dr.PateliNa bado, na sasa hivi mmekimbizana kuchukua form za kugombea uongozi UVCCM, mliambiwa msiwachague mkasema mnamchagua Rais kijana, CCM Oyeeeeeeeeeee!