Hii ni Hatari!Clouds Waliangalie Hili

Acha majungu ndugu
Unaushahidi wa hayo unayosema?

Au unajifanya hujui bilikanzi walikuwa wanaingia akina lulu na miaka 15 na wanakesha hadi asubuhi?

Tusiwalaumu clouds tu hata maadili kwa ujumla yameporomoka kuanzia majumbani mwetu, mleta uzi anawalaumu clouds kuruhusu watoto (under 18) wakati watoto hao hao wana wazazi wao huko watokako, mie nadhani tuanze na majumbani mwetu kabla ya kutupa lawama kwa hawa jamaa maana tukiweka sawa majumbani kwetu maana yake hata wateja watoto hawatakuwepo hence huenda matamasha yatakuwa hayapo au yatapungua kabisa.

Hata serikali nayo imelala nakumbuka miaka flani ya 90s kuna miss alishinda Dodoma alikuwa ni miss Tanzania, pamoja na ushindi wake, pamoja na kwamba alikuwa anasoma shule ya day na ilikuwa private (Central secondary) lakini bado waziri wa elimu (Prof Sarungi) aliingilia na sheria ikachukua mkondo wake kwa kumsimamisha masomo kwa kuingia kumbi za burudani usiku. Kila tatizo linapotokea tusilaumu pande moja tuangalie linasababishwa na nini (ni kuangalia visababisho vya kila tatizo mwisho wa siku tutakuja na njia mbadala za kuzuia tatizo kwa mapana badala ya kuangalia clouds radio pekee maana watajitetea na kusema ni ngumu kutambua umri wa mtu hasa ukizingatia watoto wenyewe ni ma-broiler, mtu ana 15yrs anaonekana kama 22yrs
 
Tusiwalaumu clouds tu hata maadili kwa ujumla yameporomoka kuanzia majumbani mwetu, mleta uzi anawalaumu clouds kuruhusu watoto (under 18) wakati watoto hao hao wana wazazi wao huko watokako, mie nadhani tuanze na majumbani mwetu kabla ya kutupa lawama kwa hawa jamaa maana tukiweka sawa majumbani kwetu maana yake hata wateja watoto hawatakuwepo hence huenda matamasha yatakuwa hayapo au yatapungua kabisa.

Hata serikali nayo imelala nakumbuka miaka flani ya 90s kuna miss alishinda Dodoma alikuwa ni miss Tanzania, pamoja na ushindi wake, pamoja na kwamba alikuwa anasoma shule ya day na ilikuwa private (Central secondary) lakini bado waziri wa elimu (Prof Sarungi) aliingilia na sheria ikachukua mkondo wake kwa kumsimamisha masomo kwa kuingia kumbi za burudani usiku. Kila tatizo linapotokea tusilaumu pande moja tuangalie linasababishwa na nini (ni kuangalia visababisho vya kila tatizo mwisho wa siku tutakuja na njia mbadala za kuzuia tatizo kwa mapana badala ya kuangalia clouds radio pekee maana watajitetea na kusema ni ngumu kutambua umri wa mtu hasa ukizingatia watoto wenyewe ni ma-broiler, mtu ana 15yrs anaonekana kama 22yrs
Tamasha linaanza saa nne asubuhi na watoto hata wa miaka mitano wanaruhusiwa kwenda kwa vile muda rasmi wa kufunga ni saa 12 jioni. Sasa kama muda huo hufungi na linaendelea hadi usiku ndio tatizo lipo hapo.
Kuhusu maadili katika familia zetu hiyo ni mada nyingine.
 
Tamasha linaanza saa nne asubuhi na watoto hata wa miaka mitano wanaruhusiwa kwenda kwa vile muda rasmi wa kufunga ni saa 12 jioni. Sasa kama muda huo hufungi na linaendelea hadi usiku ndio tatizo lipo hapo.
Kuhusu maadili katika familia zetu hiyo ni mada nyingine.

Ni kweli suala la maadili ni mada nyingine lakini lina connection na hili kwani walichofanya clouds kama kweli na waandaaji wengi ni kwamba wametumia udhaifu wa serikali katika kusimamia sheria pia wametumia uzembe wa wazazi kutopiga kelele ya kukemea hii (maana hawa watoto wana kwao na shule muda huu zimefungwa na kama mzazi mtoto anapokuwa ni under 18 kuna taratibu ambazo za kawaida ambazo watoto wanatakiwa wazifuate). Ila ni mwanzo mzuri maana umeanza wewe kukemea na wengine wanafuata
 
Watu wa kampuni hii hawako serious kabisa.niliacha kuangalia,kusikiliza, na kuhudhuria mambo yao zaidi ya mwaka sasa
 
mbaya zaidi watangazaji wa clouds wanajifanya wanajua kila kitu kuwa wasemalo wao ndo sahihi, upuuz mtupu

wanajua nini wakayi majuha tu wale! sasa mtu kama b12 anajua nini zaidi ya uhuni tu, kibonde ndio ndezi kabisaa bora hata b12 yuko kisharoaro, wale wa powerbreakfast ndo duuuh! bora watoto wa chekechea
 
Back
Top Bottom