Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,217
Hapa Mwanza Clouds. Wanaendesha tamasha la Fiesta ambalo huwa linaruhusu hata watoto wadogo kuhudhuria.Lakini pamoja na kuruhusiwa lifanyike hadi saa 12 jioni lakini sasa hivi ni saa tatu usiku tulio viwanja vya karibu tunasikia linaendelea.Hii inaweza kuleta madhara kwa vijana wadogo hasa baada ya kufunga usiku.