VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Ajabu la ngapi hili wakuu?
'Eagle' amekamata Mamba kama chakula chake. Mamba ujanja kwisha kabisa. Unacheza na 'Eagle' wewe...
madenge yana nguvu za tsunami hayo
hata mtoto wa mamba ni mamba pia pamoja utoto wake bado nguvu za huyo ndege zinadhihiri kuzingatia na ukubwa mamba pichani.Huyu ni mamba au mtoto wa mamba? ukimcheki anaonekana kama kenge tu!mi naona ni kama kenge, nina mashaka aliyenasa picha hii hakujua kama ni kenge
Ni suala zima la timing
'Eagle' amekamata Mamba kama chakula chake. Mamba ujanja kwisha kabisa. Unacheza na 'Eagle' wewe...
igo ndo ndege gani kwa lugha yetu ya taifa? msaada jamani wengine hizi lugha bado ni gongana kwa kichwa
Mbona unatuchanginyi sasa hapa...Huyu ni mtoto wa mamba lakini ndio mamba mwenyewe huyo sasa amekutana na
snake eagle kazi nzito
...labda ka-mamba!!..Mamba???????