Hii ni haki kweli jamani???!!....

Sajenti

JF-Expert Member
Apr 24, 2008
3,651
412
Huwa nashangazwa na tabia ya huyu mchumba wangu. kila ninapokuwa mbali naye kwa shughuli za kikazi au za kifamilia ( kutembelea ndugu mkoani kwetu) kwa muda zaidi ya siku tatu, nikirudi wakati wa kufanya naye mapenzi huwa anataka kujua kama huko nilikokuwa nilidokoa kidogo (kutoka nje ya mahusiano yetu au la). Kipimo chake kikubwa ni volume ya mzigo ninaoshusha (manii) wakati wa mechi. Juzi jumamosi kwa kweli ilibidi mechi ivunjike kwani alinibadirikia katikati ya mchezo eti mzigo nilioshusha ni wa kitoto lazima nilichepuka mahali. Kwani yeye anaamini kwa muda niliokuwa safarini alitegemea ujazo wa kutosha. Kwa ukweli kwa siku zote nilizokuwa huko safarini (wiki 2) sikuwahi kudokoa mahali popote. Amekuwa akinilaumu sana wakati mimi kwa ukweli na nafsi yangu ni muaminifu sana kwake. Hili jambo linanikera sana sijui nifanye nini?? Inakuwaje hii wandugu??
 
Kama ni Mchumba, anza kumrekebisha mapema asiwe na mtazamo huo.. Akiingia ndani utaona SHUGHULI yake. Wakina Mama wote wako hivyo ila jitahidi aache hizo.
 
MMM HUYO AMEZIDI KHAAAA....WIVU UKIZIDI NI UNAHARIBU UHUSIANO MPE LIVE HUPENDI HIYO TABIA KHAAA....mbona ankipimo cha zamni huyo kha....
 
Laligeni kipimo cha uaminifu kwa mzigo unaotoa ndo nasikia leo!!! (nashawishika kukuuliza anapimaje mwenzetu?)

Anyway kama wewe unajiamini huibii nje jaribu tu kumweleza lakini hata hivyo iweje ana note ujazo iwapo tu wewe ulisafiri kwa siku kadhaa?
Maana kama ujazo unakuw apowa ukiwepo then wat happens when u come back from wherever?
 
Hicho kipimo hata mimi nimeshakisikia sana. Ila nashukuru mara zote kimekuwa kikitumika kunipa sifa kwamba sikufanya uhalifu huko nilikoenda. Huwa anadai kwamba mtu ukikaa siku nyingi bila kushusha mzigo, basi siku unapokuja kushusha hasa mzigo wa kwanza huwa unakuwa na mshindo mkuu, usipotoka mshindo mkuu inakuwa kesi mkuu.
 
Kama ni Mchumba, anza kumrekebisha mapema asiwe na mtazamo huo.. Akiingia ndani utaona SHUGHULI yake. Wakina Mama wote wako hivyo ila jitahidi aache hizo.
Hakuna tatizo hapo,huyo anakupenda sana,yaani umemchanganya sana na ni pia huyo ni mwanamke mwenye wivu?jenga tabia ya uaminifu kwake, wewe kama story zako ni mademu wa zamani wa home unadhani atafikirije? KWANI? ukienda nae safari kila usafiripo kuna tatizo?mambo ya kupimana mizigo mambo gani tena haya?KWANI?si naweza nikaiba sana tu kisha nikala vyakula vya proteni kwa wingi mzigo ukawa pale pale?.Mzee mwenzangu mambo mengi kwenye mapenzi ni kuvumila tu, wapenzi wetu sio malaika ni binadamu,wanakasoro kibao pamoja na mimi na wewe tuna kasoro UVUMILIVU ndio solution.Jipinde mzee toa kilo znazotakiwa,lakini angalia usijetoa damu.
 
asante kwa kazi mliyoifanya ya kukarabati JF lakini jamani mbona maandishi yako faint na madogo sana? mnatuua macho. please please do somethin about it.

thanks.
 
siumwambie tuu wajameni...

Aambiwe nini jamani...? Au nawe unamaanisha kuwa jamaa alipaswa kumwaga manii nyingi kwa kuwa hakufanya kwa muda mrefu? Labda amwambie alikuwa anafanya kazi za mikoni zilizotumia manii hizo, au jamaa amwambie kuwa kamwota jana na hivyo nyingi zimwagika hewani...?
 
Hahaha hata mie mkuu hicho kipimo huwa napimwa nacho sana. Kwani kuna uhusiano gani hapo eti akina mama mtuambieeeee
 
Aambiwe nini jamani...? Au nawe unamaanisha kuwa jamaa alipaswa kumwaga manii nyingi kwa kuwa hakufanya kwa muda mrefu? Labda amwambie alikuwa anafanya kazi za mikoni zilizotumia manii hizo, au jamaa amwambie kuwa kamwota jana na hivyo nyingi zimwagika hewani...?

HAhaa actually its first time nasoma kama kuna vipimo.....I meant... amwambie kama hapendi hiyo tabia na wivu ukizidi ni noma...
 
Hicho kipimo lakini si kina ukweli?
Itabidi u justify kwanini umekwenda chini ya viwango ndugu vinginevyo hapatoshi lol.
 
mmm huyo amezidi khaaaa....wivu ukizidi ni unaharibu uhusiano mpe live hupendi hiyo tabia khaaa....mbona ankipimo cha zamni huyo kha....
samahani kama nakukwaza,hiyo avatar niiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.............?
 
Laligeni kipimo cha uaminifu kwa mzigo unaotoa ndo nasikia leo!!! (nashawishika kukuuliza anapimaje mwenzetu?)

Anyway kama wewe unajiamini huibii nje jaribu tu kumweleza lakini hata hivyo iweje ana note ujazo iwapo tu wewe ulisafiri kwa siku kadhaa?
Maana kama ujazo unakuw apowa ukiwepo then wat happens when u come back from wherever?
..bht, unajua mambo mengine mtu unajaribu kufikiria kama yana mantiki yoyote katika mahusiano...mi sioni. Hilo la kupima ujazo halikuwepo tulipoanza urafiki wetu karibu miaka 2 iliyopita. Ila sasa hivi naona linachukua sana nafasi tena kwa taarifa yako si ujazo tu wakati mwingine anataka mpka aone mzigo ni mzito kiasi gani usishangae unaulizwa ..mh! mbona za leo nyepesi hivi?? Unajua huwa nabaki kucheka tu.....Sijui kama na nyie wadada wengine hizo nazo ndio zenu!
 
..bht, unajua mambo mengine mtu unajaribu kufikiria kama yana mantiki yoyote katika mahusiano...mi sioni. Hilo la kupima ujazo halikuwepo tulipoanza urafiki wetu karibu miaka 2 iliyopita. Ila sasa hivi naona linachukua sana nafasi tena kwa taarifa yako si ujazo tu wakati mwingine anataka mpka aone mzigo ni mzito kiasi gani usishangae unaulizwa ..mh! mbona za leo nyepesi hivi?? Unajua huwa nabaki kucheka tu.....Sijui kama na nyie wadada wengine hizo nazo ndio zenu!

Laligeni kwenye mabo ya mahusiano hakuna ukomoo kujifunza (we always acquire new skills and techniques) usimshangae hakuwa hivyo miaka miwili nyuma.

hili la wingi na uzito wa 'the so called mzigo' mie mgeni maeneo hayo. ila kila mwnamke ana vijimambo vyake.....dadaangu alikuwa na tabia ya kuchungulia boxers za mumewe akitoka job ili ajue jamaa alikula kona au lah....
mweh me dunno Laligeni bana!!!
 
mnh huyo dada nahisi atafute vipimo vingine...:eek::D

sidhani kama kuna uhusiano kati ya ufanyaji mapenzi na utokaji shahawa!!otherwise wale wanaume wanaoenda 'round' tatu na kuendelea wangekuwa wanatoa 'hewa' na si shahawa!..lol
 
Dah sasa hicho kipimo kinapimwaje? anatumia measuring cylinder?lol! cc ngapi kwa round moja!!
 
heheh dada hataki mchezo!..anapima consinstency!!..sijui hio 'sample'..anaipata pata vipi...ikishaingia kuleee...mwee!lolz..siriazz wewe kaka utakuwa umemuharibu sana kisaikolojia...labda ushawahi kumcheat???
 
Hicho kipimo lakini si kina ukweli?
Itabidi u justify kwanini umekwenda chini ya viwango ndugu vinginevyo hapatoshi lol.
...WOS kwa kweli sasa nimeamini kuwa waarabu wa pemba hujuana kwa vilemba. Hivi hili la ujazo laweza kweli likakupotezea muda mpaka wakati mwingine kusababisha uvunjifu wa amani?? I don't believe this....Sasa na sie tuna kipimo gani cha kujua kama mamaaa hakumegwa kitaa?
 
Back
Top Bottom