Hii ni Fashion Conscious Au?

Beauty

JF-Expert Member
Feb 6, 2008
540
23
ATT00000.jpg
 
Waulize ma MC wa kwenye harusi watakuambia wanapata wapi hivyo viatu !
 
Mimi sijui niugonjwa kwa mwenye akili iliyo kaa sawa kwenye tray yake huwezi kuvaa hivi!watu bwana!
 
Nahisi ndo huyu namuona mara nyingi pale maeneo ya kinondoni morocco!!!hawa ma papaa fulani wanapenda sana sifa.Ila ndo burudani zenyewe hapa duniani........!!suruali kama ovaroli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom