Annina
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 437
- 57
Wapendwa, kuna kijana anaishi karibu na binamu yake ambae ni kama mlezi wake (anamuita kaka). Huyo kaka alifiwa na mke wa kwanza ambae alimwachia watoto 2 (mapacha), akaoa mwingine ambae amepata nae mapacha mara 2. Watoto wote 6 wanafanana na baba yao kupita kiasi.
Kijana nae akaoa, nae amebahatika kupata mapacha mara 2 ambao nao wanafanana na huyo kaka wa baba yao kiasi cha kuwafanya waonekane kama sehemu ya familia ya huyo kaka...
Hii ni coincidence au kuna maelezo ya kitaalam - genetics...?
Annina
Kijana nae akaoa, nae amebahatika kupata mapacha mara 2 ambao nao wanafanana na huyo kaka wa baba yao kiasi cha kuwafanya waonekane kama sehemu ya familia ya huyo kaka...
Hii ni coincidence au kuna maelezo ya kitaalam - genetics...?
Annina