Habari za kuaminika toka kwa jamaa yangu ambaye ni polisi -FFU pale morogoro amesema kuna vurugu kubwa sana zinaendelea, wazazi wamevamia mashule wanapiga wafanyakazi wa afya, na wamemwaga dawa za chanjo zote. Polisi imewalazimu kutumia mabomu ya machozi kutuliza ghasia hizi.
Hivi ni chanjo gani hizi zinazoleta maafa kwa watoto washule, inasemeka zaidi ya watoto 4 wamepoteza maisha yao leo asubuhi baada ya kupata chanjo hiyo! Ingekuwa kwenye nchi za wenzetu this would hae been a big scandal kwa wizara ya afya!
Tatizo ni administration of it au ni contnts ndio mbaya? wataalamu wa afya tunaomba mtusaidie kwa hili!
Hivi ni chanjo gani hizi zinazoleta maafa kwa watoto washule, inasemeka zaidi ya watoto 4 wamepoteza maisha yao leo asubuhi baada ya kupata chanjo hiyo! Ingekuwa kwenye nchi za wenzetu this would hae been a big scandal kwa wizara ya afya!
Tatizo ni administration of it au ni contnts ndio mbaya? wataalamu wa afya tunaomba mtusaidie kwa hili!