Si umeona eeh? Sasa jamaa badala ya kuzificha hizo picha ndo kwanza anaanza kuzianika kwenye kadamnasi alafu tukiibiwa atakuwa wa kwanza kuanza kulalamikaa!Tuko vizuri ila jamaa wakiona hizi picha mate yanawatoka wanatamani kuja kutuibia twiga na wanyama wetu wapeleke kwao majuu.