Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,730
- 155,414
Jamaa karudi home usiku wa manane.Moja kwa
moja akazama chumbani,akafunua blanketi,akaiona
miguu minne badala ya miwili aliyozoea.Jamaa
akafunika blanketi taaratibu,akachukua bonge la
rungu,akaitwanga ile miguu kwa nguvu zote halafu
akaelekea sebuleni kutuliza hasira.Kutahamaki
akamkuta mkewe amejipumzisha sebuleni.Mkewe
akamwambia:Wazazi wako wamekuja leo
kututembelea,nimewaachia chumba chetu
walale,sisi tutafanya maarifa mengine."
moja akazama chumbani,akafunua blanketi,akaiona
miguu minne badala ya miwili aliyozoea.Jamaa
akafunika blanketi taaratibu,akachukua bonge la
rungu,akaitwanga ile miguu kwa nguvu zote halafu
akaelekea sebuleni kutuliza hasira.Kutahamaki
akamkuta mkewe amejipumzisha sebuleni.Mkewe
akamwambia:Wazazi wako wamekuja leo
kututembelea,nimewaachia chumba chetu
walale,sisi tutafanya maarifa mengine."