Jonogomero
Member
- Feb 8, 2012
- 99
- 27
Eti nimeagiza msosi na pepsi bariiiidi, cha kushangaza si nimekuta zawadi ya TUSKER kwenye kizibo cha pepsi. Sasa hapa ndio nashangaa huu muingiliano. Karibu kula
Eti nimeagiza msosi na pepsi bariiiidi, cha kushangaza si nimekuta zawadi ya TUSKER kwenye kizibo cha pepsi. Sasa hapa ndio nashangaa huu muingiliano. Karibu kula
Unashangaa nini? sio kiwanda kile kile?duh....
Unashangaa nini? sio kiwanda kile kile?
Boss we hulali? Au na wewe ni mbeba maboxi?mbege=beer
Eti nimeagiza msosi na pepsi bariiiidi, cha kushangaza si nimekuta zawadi ya TUSKER kwenye kizibo cha pepsi. Sasa hapa ndio nashangaa huu muingiliano. Karibu kula
Boss we hulali? Au na wewe ni mbeba maboxi?
Boss we hulali? Au na wewe ni mbeba maboxi?
Mbona ndio kazi zao? Kwani kuna ubaya gani kubeba maboxi kama inalipa na ni legal?Hii mbeba mabox kabla sijaijua maana yake ilinipa shida sana kuumiza kichwa kujua inamaanisha nini ! Hata hivyo inawapa shida wageni waingiao humu, kila uchao !
Mi wkt najoin Jf ilikua na members elfu 50 sasa washavuka elfu 61.
Hao jamaa kw nini wasifunge na jina halisi ya kazi zao.