Hii ni aibu Marine Hassan!

Kwa sababu ya kuuelewa umuhimu wa elimu, Uislamu umehimiza Waislamu kuitafuta na kujifunza elimu. Mfumo wa maisha ya Muislamu umetawaliwa na sheria maalum ambapo ili mtu aishi kama Muislamu wa kweli inambidi awe na elimu. Elimu huanza tangu utoto. Ni utaratibu uliopo tangu kutangaza kwa Uislamu kwa watoto wa Kiislamu kupelekwa katika madrasa kusoma elimu. Hapo zamani wazazi walikuwa wakichukua jukumu la kuwasomesha wenyewe watoto wao ambapo kwa siku hizi hutegemea zaidi madrasa. Kwa sababu hii miji yenye Waislamu wengi madrasa za watoto huonekana katika kila kona ya mji.

Vipi elimu dunia haina umuhimu katika maisha ya jumuiya ya kiislamu?
 
Ni kweli kiingereza siyo lugha yetu. Ni kweli pia kuwa wengi wa wtz kiswahili siyo lugha yetu, bali tunazo lugha zetu za asili. Tofauti ni kiswahili kinazungumzwa zaidi kuliko kiingereza.
Hata hivyo lugha zote hukubalika kutumika katika mawasiliano rasmi ya kiserikali. Kiingereza ni rasmi kufundishia kuanzia sekondari hadi chuo kikuu. Mimi nazipenda lugha zote mbili ingawa si mtaalam wa lugha hizi.

Baadhi ya matatizo ya kutojua lugha hizi ni:
1. Kuzungumza kisw-english
2. Kutosoma vitabu tena baada ya kutoka shule.
3. Kutojiamini na hivyo kubabaika
4. Kufikiri kwa Kinyiha na kuzugumza kwa kiingereza (mfano)
 
SIKIENI JAMANI,HUU NI UGONJWA WA SISI WA TZ WOOOOTE.
MTU ANAONA AIBU KUONGEA KIINGEREZA KIBAYA, LAKINI ANAONA FAHARI KUONGEA KISWAHILI KIBAYA KABISA. MFANO; unakuta mtu mzima anasema "wamama na wababa" ni kiswajili hiki??? kwanini asiseme "akina mama na akina baba" pia utasikia "huu wimbo mzuri sana" why not "hii nyimbo ni nzuri sana?"
TUNAJIAIBISHA NA HATUJUI TUNAKOKWENDA. NDO MAANA VYUO VYA NJE HASA UJERUMANI WANAKOFUNDISHA KISWAHILI, WALIMU WENGI NI WACOMORO NA WAKENYA. WA TZ MMEBAKI VIJIWENI TU KUONGEA KISWAHILI KIBOVU KABISA.
NAREJEA KAULI YANGU YA SIKU ZOTE.
WA TZ 1. HATUNA AKILI KABISA 2. SI WAZALENDO.
NI HAYO TU.
PUMBAVU SANA MTUMA THREAD HII

Hata wewe Kiswahili tatizo:

Hapo kwenye nyekundu:
Wimbo = Umoja
Nyimbo = Wingi.
 
watanzania kwa kubebana hamjambo kabisaaaa
Marine ni mtangazaji na tbc inaangaliwa na watu
wengi na tofauti siwaeli wanaosema si kosa kutojua kiingereza.
nasema ni aibu sana kwake na uongozi mzima wa tbc.
ndo maana television nyingine huwa wana wapa wenye uwezo kwenye kipindi kama hicho.
tumtofautisheje na yule aliyeulizwa kwa nini nchi yake masikini? na kujibu hajui
au ni sawa na kuwa msemaji wa tanesco unaulizwa kwa nini hatuna umeme na unajibu hujui!!.......damn!!!

Safi sana mkuu umemaliza kila kitu!!!
 
Ina umuhimu sana.. cha muhimu zaidi ni mtoto ajengewe kwanza msingi mzuri wa imani yake
Mkuu nakubaliana na wewe,lakini kumbuka elimu dunia pia inahitaji msingi mzuri,hivyo ni vema vyote vikafanyika kwa pamoja!!
 
Msimcheke jamani. Mbona hata jina lake ni la kingredha.

MARINE (Adjective/Kivumishi) = ..of water/..a-kwenye maji.
Alipaswa kukikata king'eng'e kisawasawa?
 
SIKIENI JAMANI,HUU NI UGONJWA WA SISI WA TZ WOOOOTE.
MTU ANAONA AIBU KUONGEA KIINGEREZA KIBAYA, LAKINI ANAONA FAHARI KUONGEA KISWAHILI KIBAYA KABISA. MFANO; unakuta mtu mzima anasema "wamama na wababa" ni kiswajili hiki??? kwanini asiseme "akina mama na akina baba" pia utasikia "huu wimbo mzuri sana" why not "hii nyimbo ni nzuri sana?"
TUNAJIAIBISHA NA HATUJUI TUNAKOKWENDA. NDO MAANA VYUO VYA NJE HASA UJERUMANI WANAKOFUNDISHA KISWAHILI, WALIMU WENGI NI WACOMORO NA WAKENYA. WA TZ MMEBAKI VIJIWENI TU KUONGEA KISWAHILI KIBOVU KABISA.
NAREJEA KAULI YANGU YA SIKU ZOTE.
WA TZ 1. HATUNA AKILI KABISA 2. SI WAZALENDO.
NI HAYO TU.
PUMBAVU SANA MTUMA THREAD HII


Mods vipi mpo usingizini?,tafadhari anagalieni penye wekundu,hili si jukwaa la matusi.Tafadhali tafuta jukwaa jingine ili ukaendeleze tabia zako chafu!
 
Daaa! Punguzen ukali wa maneno! Nyie ni great thinkers, je ndo mnapaswa kuwa hivyo? Tatizo la marine sio kutokujua vema kiingereza kwan sio kosa lkn ni kuonesha ulimbukeni kwan kiswahili kipo hivyo angetumia mkalimani ili kusaidia watanzania wasioijua lugha hiyo kuelewa kilichokuwa kinazungumzwa!

There is a great difference between knowing and understanding: you can know a lot about something and not really understand it.
Marine is in either side. Teh teh
 
Ukoloni umewajaa mnadhani kuongea kiingereza basi hapo mtu amemaliza kila kitu...huo ni uinga tu wala hakuna la maana mbona mtu akiongea kisukuma na kihaya hamsemi huyu msomi?!! hiyo ni lugha tu tena sio yetu!! kwanini hamjamsifia Marine kwa kuongea kiswahili kizuri fasaha...yale yale ya kutamani vya wenzio na kuona vyako havina maana...aibu tu
 
There is a great difference between knowing and understanding: you can know a lot about something and not really understand it.
Marine is in either side. Teh teh
hii inglishi yako nayo mhh!
 
Acha ushamba ww, hicho alichokiongea ni kiingereza cha wengi katika kiswahili. Kama aliyekuwa anaulizwa alikuwa anajibu tatizo lipo wapi, lugha yoyote dhima yake kuu ni kufanikisha mawasiliano/kuelewana, ulishasikia chochote kuhusu lugha za creole na pidgin
lugha lazima iwe fasaha kama huwezi lugha siyo kulazimisha bora utumie ile unayoifahamu una hakika gani kama walimwelewa wakati m2 unachnganya nyakati, mahala n.k kama hawezi wangeweka anyefahamu luga vyema kufanikisha mahaojiano alaaaaaaaaaaa
 
Kama hujui, kwa nini uongee kwenye jukwaa la uma kama TV huku ukijua kuwa wewe ni mwandishi wa habari??. Ndugu rejao, lugha kama ile ikiongewa na marine huyo huyo tukiwa tunapata moja baridi pale club ya wazee ilala haitakuwa tatizo hata kidogo!. Tatizo ni yeye kuongea ule utumbo kwenye Television!

Marine ni kanjanja sio mwandishi wa habari
 
Back
Top Bottom