Hii ni aibu kwa Tanzania, Kazi ya kodi za wananchi kwenye serikali za mitaa ni nini hasa?

Hofstede

JF-Expert Member
Jul 15, 2007
3,577
1,107
Nimejisikia vibaya sana, baada ya kukuta Tanzania, na hasa Dar es Salaam tukitangazwa nje ya nchi kama jiji chafu sana na kuwashauri watalii wanaokuja Tanzania. Nikajiuliza hivi kazi ya halmashauri za miji ni nini hasa?, je ni kulipana mishahara minono tu au kutunza ni kusafisha miji yetu?, yaani leo hii Tunatangazwa kwa uchafu kweli tuna viongozi kweli?. Mameya wa majiji, wakurugenzi wa manispaa, na msululu wa watu wanaopokea posho kila mwezi kazi zao ni nini hasa?, kuhakikisha CCM inashinda chaguzi au kuhakikisha miji inaangaliwa kwa kodi na ushuru unaokusanywa kila siku?. Ni aibu sana kwa Dar es Salaam, ni aibu sana kwa Tanzania, ni aibu sana kwa watanzania na ni aibu sana kwa viongozi wa Tanzania. Yaani mpaka foreigners wanaona uoza tunaoishi nao sisi tumekalia seminar elekezi tu for nothing!

Dar es Salaam, Tanzania
Travellers pass through the city on the way to Mount Kilimanjaro, Tanzania's superb safaris and Zanzibar's white beaches but, in a country where less than half of the population has access to decent sanitation, capital city Dar es Salaam is struggling under the pressure of rapid urbanisation.
WaterAid has described the Temeke District of Dar as having streets "paved with poo". Jane Scobie of the charity has been witness to the problem. "Dar has grown without effective town planning, and approximately 70% of the population lives in unplanned settlements," she confirms. Despite this, Kariokoo Market is a great place to banter with the locals, while peaceful Coco Beach offers a perfect sunset dining experience.

Source: Dar es Salaam, Tanzania - World
 
Ni aibu kubwa sana kwa nchi iliyopata uhuru miaka 50 iliyopita waziri wake wa mambo ya nje analilia fedha zinazorudishwa baada ya kuibiwa na viongozi wetu eti zirudishwe serikalini ili zisaidie kujenga matundu ya vyoo kwenye shule zetu!! Je hizo pesa zisingerudishwa na mahakama za wenzetu wenye ustaarabu hao watoto wangekwenda wapi kujisaidia? Membe ana matamshi ambayo mara nyingi hayasaidii kuongeza heshima ya nchi!!
 
Ushuru si ndio unalipa mishahara ya watu mpaka wanakosa responsibilities au mwenzetu ukusoma hile thread ya jamaa (Mkullo) alipoelezea figures zake, kwa mtaji ule kutakuwa amna 'ndee' ya kufanyia kingine zaidi kuendesha warsha za serikali na malipo yao watumishi wao na wao.

Anyway huyo jamaa nae Temeke alienda kufanya nini kwani huko siku hizi tunakutangaza kwa ajili ya watalii au ndio unafiki mwingine wa kuchafua jina letu.
 
Back
Top Bottom