Hii ndoa itadumu kweli?

Muungano wa kupigiwa makofi "
upload_2016-7-24_10-11-39.jpeg
"
 
Mikosi inaletwa na unafiki wa kujifanya tuna nchi mbili zilizoungana wakati kiuhalisia muungano huo ulishakufa siku nyingi...hivi ikitokea leo ccm wakaanguka kwenye uchaguzi upande mmoja wa huo muungano, tutasema kuna muungano tena hapo?
Mimi tangu nilipokutana na ndugu zetu wazanzibar wakiwa nje wanajitambulisha kama wazanzibar, nilikoma kabisa kujiita mtanzania! Mimi ni mtanganyika unafiki siuwezi, na hata kwenye katoi kangu napeperusha bendera ya Tanganyika.
 
Mimi tangu nilipokutana na ndugu zetu wazanzibar wakiwa nje wanajitambulisha kama wazanzibar, nilikoma kabisa kujiita mtanzania! Mimi ni mtanganyika unafiki siuwezi, na hata kwenye katoi kangu napeperusha bendera ya Tanganyika.
Wao wamebaki na utambulisho wao na sasa nchi yao sisi mmh
 
Jana wakati nafuatilia kilichokuwa kinaendelea Dodoma nilijikuta natafakari mambo kadhaa miongoni mwao ni Iinalofanana na hili.

Ilielezwa kuwa magu alibembelezwa uwa mwenyekiti Wa chama baada ya kukataa ombi hill kutoka kwa mkiti aliyekaa pembeni.

Sasa katika mkutano huo akawepo pembeni kidogo ya mwenyekiti aliyetoka, makamu mwenyekiti Wa ccm Zanzibar Dr she in.

Nikawa najiuliza hivi huu muungano VP kwanini mwenyekiti Wa chama kinachoutetea awe rais jamhuri hata kama kuna makada wenye sifa na uzoefu kuliko rais?

Kama she in ametumikia wadhifa Wa makamu Wa rais Wa muungano kwa miaka mitano na bila shaka wakat huo akiwa mjumbe Wa kamati kuu huku magu akiwa waziri Wa kawaida kabisa iweje hivi.

Kama she in amekuwa rais Wa Zanzibar kwa miaka 5 huku akiwa makamu mwenyekiti na tena " kachaguliwa" kwa Mara nyingine, hivi kati yake yeye na magu Nani anasifa zaidi ya mwingine kushika wadhifa huo?

Hapa hatujataja sifa za uvumilivu, busara, elimu na kadhalika. Huu muungano ukoje?
 
Jana wakati nafuatilia kilichokuwa kinaendelea Dodoma nilijikuta natafakari mambo kadhaa miongoni mwao ni Iinalofanana na hili.

Ilielezwa kuwa magu alibembelezwa uwa mwenyekiti Wa chama baada ya kukataa ombi hill kutoka kwa mkiti aliyekaa pembeni.

Sasa katika mkutano huo akawepo pembeni kidogo ya mwenyekiti aliyetoka, makamu mwenyekiti Wa ccm Zanzibar Dr she in.

Nikawa najiuliza hivi huu muungano VP kwanini mwenyekiti Wa chama kinachoutetea awe rais jamhuri hata kama kuna makada wenye sifa na uzoefu kuliko rais?

Kama she in ametumikia wadhifa Wa makamu Wa rais Wa muungano kwa miaka mitano na bila shaka wakat huo akiwa mjumbe Wa kamati kuu huku magu akiwa waziri Wa kawaida kabisa iweje hivi.

Kama she in amekuwa rais Wa Zanzibar kwa miaka 5 huku akiwa makamu mwenyekiti na tena " kachaguliwa" kwa Mara nyingine, hivi kati yake yeye na magu Nani anasifa zaidi ya mwingine kushika wadhifa huo?

Hapa hatujataja sifa za uvumilivu, busara, elimu na kadhalika. Huu muungano ukoje?
Tafakuri nzuri sana hii sidhani kama ndani ya ccm wanaweza kuwaza kama hivi na hata kama atakuwepo mmoja kwa hakika hatakuwa na uthubutu hata wa kunong'ona
Kimsimgi na kiuhalisia muungano wa sasa ni wa kisiasa tuu..ni hiki kipengele kimoja tu kilichopo na ndio maana tulishuhudia demokrasia ikisiginwa pande zote za muungano
Nje ya ccm insyotengeneza muungano wa sasa hakuna kitu kama hicho, bali tuna nchi mbili zenye mamlaka kamili
 
mkuu, kuweka hiyo ramani yenye 'mipaka' tenge, lengo lako ni nini hasa?

Unataka kuuaminisha umma kitu gani juu ya hiyo mipaka? Acha mara moja hizo propaganda mfu.

Watu wengine mnazeeka vibaya!

-Kaveli-
 
Hiyo link yako haifunguki !

By the way, nini credibility ya hiyo source yako? Hujuwi kuwa there is, on internet, a lot of 'conflicting' maps kuhusu mipaka ya Tanganyika?

I am NOT concerned with the so called 'Muungano'..., my primary concern is: WHY una-publicize ramani yenye 'mipaka' ya kupotosha umma?

Can you prove beyond doubt kwamba hiyo ndiyo the genuine/authentic map of Tanganyika? Ama 'unahisi' tu kuwa hiyo ramani ndiyo yenyewe genuine?

Usilete ramli zako kwenye mambo ya kitaifa mkuu.

Acha kukurupuka. Acha kupotosha. Kuwa mzalendo.

-Kaveli-
Nimeweka nilichokiona halafu naomba upunguze maneno ya kukera kwenye replies zako
 
Nimeweka nilichokiona halafu naomba upunguze maneno ya kukera kwenye replies zako


Umeweka 'ulichokiona'! well, umeiona wapi hiyo ramani? I mean from what credible source?

Don't tell us to use 'search engine' (Google), ni vyema utupe direct source/link ulipoitoa hiyo ramani.

N.B: DON'T TRUST 'EVERYTHING' YOU GRAB ON INTERNET !

-Kaveli-
 
Umeweka 'ulichokiona'! well, umeiona wapi hiyo ramani? I mean from what credible source?

Don't tell us to use 'search engine' (Google), ni vyema utupe direct source/link ulipoitoa hiyo ramani.

N.B: DON'T TRUST 'EVERYTHING' YOU GRAB ON INTERNET !

-Kaveli-
Ni hivi nimeweka hiyo ramani hapo kwa muktadha wa mada yangu na ishu nzima ya muungano kama bado hujaelewa rejea nilichoandika
 
Uzi mzuri ila napenda kukosoa pale uliposema ili nchi itambulike inahitajia:
1- Mipaka kamili: Hii siyo sharti. Wee unaijua mipaka ya nchi ya Israel? Ni kuanzia wapi hadi wapi?
2- Katiba: Umeiona wapi Katiba ya Uingereza?
3- Sarafu: Sijui kama Vatican ina sarafu yake. Pia Zimbabwe? Hii inatumia tenga 'basket' la sarafu kadhaa
4- Majeshi: Switzerland haina jeshi
5- Bunge: Saudi Arabia haina
6-Rais: Tanzania 2010-2015!
 
Uzi mzuri ila napenda kukosoa pale uliposema ili nchi itambulike inahitajia:
1- Mipaka kamili: Hii siyo sharti. Wee unaijua mipaka ya nchi ya Israel? Ni kuanzia wapi hadi wapi?
2- Katiba: Umeiona wapi Katiba ya Uingereza?
3- Sarafu: Sijui kama Vatican ina sarafu yake. Pia Zimbabwe? Hii inatumia tenga 'basket' la sarafu kadhaa
4- Majeshi: Switzerland haina jeshi
5- Bunge: Saudi Arabia haina
6-Rais: Tanzania 2010-2015!
Nimeweka misingi ya vigezo vinavyohitajika ili nchi itambulike, lakini casualties hazikosekani popote na kwenye chochote kama ulivyoainisha hapa
BTW kwa ishu ya Zimbabwe ni mdororo wa kiuchumi ndio umesababisha hayo yote lakini Zimbabwe ila sarafu yake Zimdollar na ilikuwa na nguvu sana mpaka mwanzoni wa miaka ya 2000
 
Mimi huwa nashangaa kwanini picha huwa inamuonesha Kambarage pekee akichanganya udongo.. Mwenzake yule sheikh alikuwa wapi..? Ni kama muoaji mmoja kumvika mwenzie pete na kujivika yeye mwenyewe..looks like upande wa masheikh haukuwa tayari.
mkuuu,hilo swali hata mimi hua lina nitatiza,au mashekhee kamela iliwarukaaaaaaaa?
 
Back
Top Bottom