Wi-Fi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,091
- 1,378
Nikipata mda nitakuja na list yangu lakini kuna hawa x-plastaz kutoka A-twn naona wabongo wengi hawawajui wanafanya nini kwenye hili gemu la hiphop kutokana na kwamba wame "base" sana nje ya bongo kimziki.. kiukweli hiphop ina nguzo zake na ni ngumu sana kwa hawa wasanii wetu kuzifata ili watengeneze pesa that said wana hiphop wengi wakibongo bado saaana.. i'll be back!!