Elections 2010 Hii Ndo Tanga Zaidi Ya Uijuavyo!

shukrani CCM, tupe zingine ambazo zimetekelezwa na mimi naanza wanajamvi mnaweza kuongezea ambazo hazitekelezwa, yaani ahadi zilizotelekezwa:
1. daraja la kigamboni
2.
3.
4.
5.
6.

Una details za project ya Kigamboni Bridge???
 
unajua,hii mambo ya kuweka ma boat kwenye mto mdogo hivi na distance fupi kama hivi umepitwa na wakati.yaani we fikiria hayo mafuta ye feri,maintanance yake,na mambo mengine kwenye long run ina cost sana.mbona tusiamue tu daraja lijengwe hapo,ambayo haita cost sana,compared to long run ferry use.mbona sisi watanzania tunapenda maisha ya kuteswa?kuna daraja za kilomita 2 na zaidi,tushindwe haka ka mita chache?pls,tanzanians,wake up.na hapo kwenye picha hizo paa,zinaonyesha kabisa umaskini wa kutupwa wa tanzaia.
 
shukrani CCM, tupe zingine ambazo zimetekelezwa na mimi naanza wanajamvi mnaweza kuongezea ambazo hazitekelezwa, yaani ahadi zilizotelekezwa:
1. daraja la kigamboni
2.
3.
4.
5.
6.

2. Bajaji za kubeba kinamama wajawazito, Aliahidi 2005, hajatekeleza, ameahidi tena sasa hivi!!
 
unajua,hii mambo ya kuweka ma boat kwenye mto mdogo hivi na distance fupi kama hivi umepitwa na wakati.yaani we fikiria hayo mafuta ye feri,maintanance yake,na mambo mengine kwenye long run ina cost sana.mbona tusiamue tu daraja lijengwe hapo,ambayo haita cost sana,compared to long run ferry use.mbona sisi watanzania tunapenda maisha ya kuteswa?kuna daraja za kilomita 2 na zaidi,tushindwe haka ka mita chache?pls,tanzanians,wake up.na hapo kwenye picha hizo paa,zinaonyesha kabisa umaskini wa kutupwa wa tanzaia.

Unajua jiolojia ya hilo eneo???Doh!
 
Nipe quick link kaka


Kilichofanyika ni kukarabati ile ya zamani jamani tusidanganyane

1049.jpg
Abdallah, Mohamed Rished[CCM]

Pangani Constituency
Session NoQuestion NumberTo the Ministry of SectorDate Asked 1145INFRASTRUCTURE DEVELOPMENTCommunication/Infrastructure11 April 2008 Mheshimiwa Spika, kwanza nimshukuru Mheshimiwa Waziri Mkuu, kwa majibu ya matumaini aliyoyatoa jana, ambayo Wananchi wa Pangani wameyapata, lakini leo Mheshimiwa Waziri ametoa majibu ambayo matumaini yameanza kufifia.

Mheshimiwa Spika, kama alivyosema Mheshimiwa Waziri, suala la Kivuko cha Pangani, dharura ya sasa kwa muda wa mwaka mzima ni lazima tupate injini mpya kwa sababu tunahatarisha maisha ya wananchi mwaka mzima. Serikali wanasema hawataki kununua mashine mbili mpya; thamani ya roho za wananchi wale na injini mbili mpya ipi kubwa; mpaka tufe ndiyo tutaleta injini mbili mpya? Je, ni lini mtatununulia injini mbili mpya zifungwe katika Kivuko cha Pangani?
ANSWERS TO SUPPLEMENTARY QUESTION # 45 SESSION # 11
1133.jpg
Answer From Hon.Mahanga, Dr. Milton Makongoro
INFRASTRUCTURE DEVELOPMENTNAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA MIUNDOMBINU:

Mheshimiwa Spika, ninapenda kujibu swali la Mheshimiwa Rished Abdallah, kama ifuatavyo:-

Kwanza, nimpongeze kwa kweli kwa namna anavyofuatilia; ni kati ya Wabunge ambao ufuatiliaji wao katika matatizo ya wananchi wa majimbo yao ni mzuri sana.

Mheshimiwa Spika, lakini nimeeleza kwamba, kwa mujibu wa TANROADS mwezi huu wa nne kabla ya mwisho, tutakuwa tumetiliana saini kuleta kivuko kipya na kwa maana hiyo, itachukua mwaka mmoja kivuko kipya kuja.

Mheshimiwa Spika, lakini kama unavyojua, kwa uzoefu tulionao, injini ya vivuko kama hivi, pamoja na propeller yake ambayo inatakiwa vilevile, unapoagiza mchakato ule wote si chini ya miezi sita; huendi tu kuchukua na kesho ukawa umeleta injini kwa maana kwamba, tukileta na kwa matatizo ya fedha tuliyonayo ni kwamba, hata hiyo injini itafika karibu na kivuko chenyewe kipya kufika. Kwa hiyo, imeonekana ni busara kwamba, tuendelee kutengeneza hapa, yaani kukarabati injini na boti ile na sasa hivi tumepata maombi ya shilingi milioni 35, kwa ajili ya kukiweka katika hali nzuri, hela ambazo wizara yetu itadhamini kwa sababu TEMESA wana matatizo kidogo ili feri ile iendelee kufanya kazi kwa mwaka huu mmoja ambapo tunangojea feri mpya, kwa sababu kuleta injini nyingine itakuja wakati ambapo hiyo feri mpya nayo itakuwa inakaribia kufika.
 
Anyisile acha hasira ya maisha, suala lilikuwa ni ahadi za CCM na kivuko cha Pangani, tunajaribu kukurudisha ndani ya mada, Mbeya unatokea sehemu gani? tunachojaribu kuongelea ni jinsi CCM inavyochangia kuangusha meandeleo ndani ya nchi si uzuri wala ubaya wa sehemu, nijuavyo mimi Pangani ni pazuri tu
acha misamiati yako ya kijiweni wewe, kwani aliyekwambia mimi natokea mbeya nani? au ndo unawasilisha matangazo kuwa na wewe ni miongoni mwa kina Pro. maji marefu ama?View attachment Tanzania National.mp3
 
unajua,hii mambo ya kuweka ma boat kwenye mto mdogo hivi na distance fupi kama hivi umepitwa na wakati.yaani we fikiria hayo mafuta ye feri,maintanance yake,na mambo mengine kwenye long run ina cost sana.mbona tusiamue tu daraja lijengwe hapo,ambayo haita cost sana,compared to long run ferry use.mbona sisi watanzania tunapenda maisha ya kuteswa?kuna daraja za kilomita 2 na zaidi,tushindwe haka ka mita chache?pls,tanzanians,wake up.na hapo kwenye picha hizo paa,zinaonyesha kabisa umaskini wa kutupwa wa tanzaia.
kweli mkuu,
tumekuwa kama wapumbavu wanaoliamini kila wanaloliona bila ya kulifanyia utafiti wa kudumu, yaani jinsi hayo mapaa ya nyumba hizo yaonekanavyo kuchoka na kuonesha taswila ya umasikini mwa wakazi wa hako kamji kabondeni yaanashiria jinsi tulivyochoka kiakili, wajinga tunashangilia kakivuko ka bwawani ambako hakasaidii kuinua maisha yetu
 
Msisahau kuna ujumbe rais kautoa kupitia video hii tumia dk zako 2 kumsikiliza, tuna mpango wa kutembea nayo kwenye mikutano lakini kwa kuanzia msikilize sasa.
 
Last edited by a moderator:
shukrani CCM, tupe zingine ambazo zimetekelezwa na mimi naanza wanajamvi mnaweza kuongezea ambazo hazitekelezwa, yaani ahadi zilizotelekezwa:
1. Kivuko cha kigamboni (kipya +ukarabati mkubwa wa vingine)
2. Kudumisha demokrasia, kila mtu anaongea anavyotaka siku hizi
3. Sheria ya uchaguzi
4. Sheria ya PCCB
5. Sheria ya morgage finance and mambo ya apartment.
6. Shule za sekondari kila kata
7. Vituo vya Afya.
8. Tembelea Muhimbili Hospital: Usipokuwa na makengeza utaona kuna maendeleo fulani.
9. Udahili wa Elimu ya Juu... number have increase quality will come... (devopment is any +change)
10. Utawala wa Sheria.
11. Benki ya Wanawake.
12. Investment bank.. soon coming kilimo bank
13.

Alivyoshindwa na ambavyo vimefanya tusiende mbele.

1. Kuchoka kwa hali ya juu au kushindwa kwa makampuni ya miundo mbinu.
(a) Reli
(b) ATCL - adhari kwenye utalii
(c) TANESCO - unit cost of producing power still to high and power is not enough and not distributed adequately
(d) Bandari - bado kutumiwa vizuri
(e) TTCL - hoi (while all telecom company in the world are growing except few)
|(f) Mabasi yaendayo kasi bila kuwa na barabara.
2. Amefifisha kukua kwa sector binafsi kwa siasa kuingilia mambo ya biashara! Mfano TRL imeuwawa na serikali na sio RITES. kwa kuwa wame-intertain Trade Unions interference, pale ambapo mfanyakazi ameajiriwa na TRL... lakini anakuwa upande wa mwekezaji mmoja yaani GOT
 
Pata ujumbe wa rais kupitia video hii

 
Last edited by a moderator:
tatizo lako nadhani hujatembea , Pangani ni mji wa kihistoria na ni pazuri hapo unapopaona ni Bweni mto Pangani unapoingia bahari ya Hindi, sina jazba unanishangaza unapouliza bwawa la taka linahitaji kivuko sasa huo tuite ushamba au dharau?
Kaka mbona Mbogo.mie wife kwao huko wala sija hamak,iweje wewe...kulikon yakhe!!!!!!!!!!!
 
Kaka mbona Mbogo.mie wife kwao huko wala sija hamak,iweje wewe...kulikon yakhe!!!!!!!!!!!
Anyisile kajibiwa vema...nawe usiwe mbogo....!!!

@Anyisile usitukane watanga kaka.....kama humpendi makamba na umeamua kumtukana umtukane tu, ila Usiwaunganishe na watanga Wengine. Tanga Kubwa.....Makamba anatoka Bumbuli...Ndio maana ukaambiwa utembee nchi yako uijue..!!!
 
wapendwa yanini kulumbana, kikubwa ni kwamba tunahitaji mabadiliko kwa ajili ya maisha yetu. yafaa nini chama kimoja kiendelee kuiongoza nchi hii yenye vyama vingi vya siasa? all in all, waliyoyafanya, mazuri kwa mabaya, tunayakubali, lakini utamu wa jembe kupokezana ndugu zangu, mwenge zikuzote hukimkibizwa na wengi, hata kama ni mlo jamani huwa hubadillishwa, tule chakula cha aina moja tangia uzaliwe mpaka ufe! siutapata malnutrition! kwa kifupi kila kiongozi huja na tija yake au kila chama huja na bidii yake ya kuleta maendeleo, Angalia mfano wa marekani na nchi zingine zilizoendelea, watu hawana time na kung'ang'ania chama kimoja, watu wanaangalia nani mwenye mtazamo wa maendeleo, sio kudanganywa na mihadi hewa, tulidanganywa maisha bora badala yake maisha ndo yamekuwa magumu kupita kiasi, hata kama angetekeleza yote si sababu tosha kwa chama kiomja cha siasa kunga'nga'nia madarakani kwa miaka na minaka. ni sawa na wewe usome kidato kimoja miaka na miaka, je utajiita na wewe ni msomi? ndgu zangu siasa si ugomvi cha msingi hasa this new generation, let us make changes. for our future. mwenye kuelewa na alielewe neno hili, angalia mfano wa zimbabwe yule ndingi kang'ang'ana cheki uchumi wao, walipo unda serikali ya mseto at list now jamani ccm msiogope kushindwa asiye shindwa si mshindani, punzikeni tulizeni akili, na hao mafisadi walio zoea kunyonya serikali ya ccm wajifunze kujitegemea, walau kwa miaka kumi tu then hata mkirudi mtakuwa wajanja kidogo, maana mtakuwa mmejifunza mengi na mtakuja na mbinu mpya ya uongozi badala ya uongozi wa sasa wakifamilia na kirafiki, na ushindi wa wizi wa kura kila uchaguzi unaofanyika. Jamani ni busara sana kuwasikiliza wanachi kuliko kujing'ang'aniza madarakani, hata hizi chi zinazopigana wenyewe kwa wenyewe chanzo ni mambo kama haya wanayo fanya ccm. ila ukimkimbiza mjusi sana anaweza akakung'ata.twendeni tu
 
Back
Top Bottom