afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Napenda kuwasalimu kwa
Herufi kubwa wataalum wote
wa mambo ya nje na ya ndani ..
nway hii ndo situation yenyewe..
mtu na mke wake ni wapenzi wa muda
mrefu sana tangu shuleni .. wameoana
miaka tisa iliyopita na wana watoto wawili..
kaka ni doctor na mke ndio anaeangalia
na kutunza biashara zenu ( mna Insurance company)..
huyo mke ni mtu mzuri sana
familia ya kijana wanampenda sana
especially wifi yake. huyo wifi anarafiki yake wa karibu sana
wote wanne wamejuana tangu udogoni na shule waliyoenda ni moja..
siku ya siku ikafika huyo kijana akarudi kwao kusalimia..
huyo rafiki wa wifi alikuwa hapo nyumbani ... jinsi rafiki na
kaka walivyokuwa wanaongea ni kama kuna attraction fulani na
mvutio wa kimapenzi kutoka na body language yao ...dada ali notice ..
baadaye ndo dada akamuuliza rafiki nini kulikoni ??
rafiki hakuweza kuficha akasema yeye na kaka yake wanamahusiano
ya kimapenzi tangu na tangia mpaka sasa... na sasa hisia zao za kimapenzi zimekua
sana hata kuficha ficha wameacha ... na alipomuuliza kaka naye akasema ni kweli ..
sasa wewe kama wifi na uko karibu sana na watoto na wifi yako
anakupenda kupita kiasi , mnaongea na kusaidiana mengi ..
Je utamwambia ??? nani vipi kuhusu kaka yako??
na we kama mume utajisikiaje ukijua ni dada kavunja ndoa yako??
wifi alishawahi kusema anampenda sana kaka yako..
na kitu kimoja ambacho kitamtenganisha yeye na kaka
ni kama mmoja akisaliti ndoa yao na familia..
halafu hapo ukipiga mahesabu kaka na rafiki yako walianza
kabla ya ndoa, baada ya ndoa mpaka sasa kaka anafamilia..
Herufi kubwa wataalum wote
wa mambo ya nje na ya ndani ..
nway hii ndo situation yenyewe..
mtu na mke wake ni wapenzi wa muda
mrefu sana tangu shuleni .. wameoana
miaka tisa iliyopita na wana watoto wawili..
kaka ni doctor na mke ndio anaeangalia
na kutunza biashara zenu ( mna Insurance company)..
huyo mke ni mtu mzuri sana
familia ya kijana wanampenda sana
especially wifi yake. huyo wifi anarafiki yake wa karibu sana
wote wanne wamejuana tangu udogoni na shule waliyoenda ni moja..
siku ya siku ikafika huyo kijana akarudi kwao kusalimia..
huyo rafiki wa wifi alikuwa hapo nyumbani ... jinsi rafiki na
kaka walivyokuwa wanaongea ni kama kuna attraction fulani na
mvutio wa kimapenzi kutoka na body language yao ...dada ali notice ..
baadaye ndo dada akamuuliza rafiki nini kulikoni ??
rafiki hakuweza kuficha akasema yeye na kaka yake wanamahusiano
ya kimapenzi tangu na tangia mpaka sasa... na sasa hisia zao za kimapenzi zimekua
sana hata kuficha ficha wameacha ... na alipomuuliza kaka naye akasema ni kweli ..
sasa wewe kama wifi na uko karibu sana na watoto na wifi yako
anakupenda kupita kiasi , mnaongea na kusaidiana mengi ..
Je utamwambia ??? nani vipi kuhusu kaka yako??
na we kama mume utajisikiaje ukijua ni dada kavunja ndoa yako??
wifi alishawahi kusema anampenda sana kaka yako..
na kitu kimoja ambacho kitamtenganisha yeye na kaka
ni kama mmoja akisaliti ndoa yao na familia..
halafu hapo ukipiga mahesabu kaka na rafiki yako walianza
kabla ya ndoa, baada ya ndoa mpaka sasa kaka anafamilia..