Iron Lady
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 4,071
- 1,363
haya ndio matunda ya taifa ambalo maadili hayapo ama yapo njiani kutoweka kabisa. taifa ambalo vijana wake wana maadali wanajua pia umuhimu wa kuwajibika na uzalendo heshima na athari ya kutokuwanayo.kama kijana anaandika matusi katika mtihani ina maana hajitambui, hatambui pia thamani yake katika jamii aliyomo na hajali lolote.lakini hajui wajibu wake kama mwana jamii kuwa afanyapo hivi ni kuchafua jina lake shule yake na familia yake.
tujitahidi sana kuwafunza maadili mema vijana wetu kwani athari zake si katika familia tu hata kwa taifa zima.
mfano mzuri ni shule za seminari ambazo vijana wanafundishwa maadili na heshima hata wakiwa hawapo shuleni utawapenda jinsi wanavyobehave. lipo jambo la kufanyika kwa vijana bado.
tujitahidi sana kuwafunza maadili mema vijana wetu kwani athari zake si katika familia tu hata kwa taifa zima.
mfano mzuri ni shule za seminari ambazo vijana wanafundishwa maadili na heshima hata wakiwa hawapo shuleni utawapenda jinsi wanavyobehave. lipo jambo la kufanyika kwa vijana bado.