Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,800
- 11,333
Habari wakuu natumai mko poa. Kuna kitabu kimeandikwa na mwinjilist kamara kusupa ni bonge la kitabu kwa kila mwanaJF na watz kwa ujumla kukisoma. Jamaa anaelezea kwa ustadi mkubwa wapi tulipokwama na masuluhisho juu ya matatizo yanayotukabili kwa kufuatana na historia yetu kabla na baada ya uhuru.