Hii ndiyo timu ya Kuwakomboa Watanzania

STEIN

JF-Expert Member
Aug 29, 2010
1,770
553
Hivi viongozi wa CCM wamelogwa au? wanaugua ugonjwa gani? mbona hawatuambii wana ugua nini? Lakini kila siku wako kwenye msururu wa kwenda Loliondo kwa babu?

Nauliza maswli haya kutokana na yanayotokea hapa TZ siku za karibuni.

Wakati wa maandamano ya CDM kanda ya ziwa CCM na viongozi wake walikurupua na kusema eti CDM inawapa watu pesa ili wahudhurie maandamano yao kitu ambacho ni uongo maana siamini kama CDM inaweza hela kwa kiwango wanachofikiria hawa CCM ila ni ukweli kwamba CDM inapendwa na watu kutokana na sera zake na kuwa na viongozi wenye nia njema na waTZ, mfano Dr. Slaa ni mtu ambaye kama huna matatizo ya akili na kama hunufaiki na ufisadi unaoendelea hapa nchini lazima utamuunga mkono kwa sababu ni mtu msafi anayejali watu na mwenye uchungu na hii nchi yetu. Ukiangalia Mbowe na Tundu lisu ni watu safi kabisa na wana nia ya dhati ya kuwakomboa waTZ mikononi mwa mafisadi hawa wa Tz ie CCM.
Kuna huyu kijana Zitto amekuwa anachuja kadiri siku zinavyoenda kwa kutokuwa na misimamamo kweli ya kuwatetea waTZ, vijana wengi wanaanza kupunguza imani kwa huyu bwana lakini akijirekebisha na kujisafisha basi naye ni mtu watu.

Ona timu ya CDM:

1. Freeman Mbowe-Moshi
2. Dr Wilbroad Slaa-Arusha
3. Tundu Lisu-Singida
4. Zito Kabwe-Kigoma
5. John Myika-Dar/ubungo
6. Joseph Mbilinyi aka Sugu-Mbeye
7. Godbless Lema-Arusha
8. Saidi Arfi- Rukwa/Mpanda
9. Prof Kahigi-Shinyaga
10. Wenje-Mwanza/Nyamagana
11.Ndesamburo-Moshi
12. Halima Mdee-Dar/Kawe
13.Peter Msigwa-Iringa
14. Prof. Baregu- Dar
15. Prof Safari: Dar
16. Annakomu-ZNZ
17.Vicent Nyerere- Mara/musoma
18. Wilfred Rwakatare-Bukoba
19. Regina Mtema-Morogoro
20. Highness-Mwanza/Ilemela
21. Mabere Marando-Mara/Bunda

Hao ni wachache tu hii ndio timu ya mafaniko ya watanzani, kumbuka Nyerere alizunguka hii nchi mwenyewe wakati wa kudai uhuru sasa mnafikiri, hiyo timu itashindwa kuikomboa TZ mikononi mwa CCM ile hali kuna wnanchi nyuma yake?

Waseme kila wanachikiweza lakini tanzania lazima ikombolewe.
 
Hiyo timu ni finyu sana! Timu nzuri ni watanzania kwa wingi wao kuhamasika na kutetea haki zao! Hao uliowataja wawe kwenye benchi la ufundi tu kwani kilichoonekana kwenye muswada haramu ni kwamba watungaji wanataka kutumia nguvu kubwa ya dola kusuppress mawazo huru!
 
Moto wa chadema hautazimika kamwe
haya ya sasa ni rasharasha 2, mambo yenyewe yaja siku za usoni
 
nakubaliana nawe, lakinii tz inahitaji viongozi wengi makini na sio lazima watoke cham kimoja hata wapo ccm weny uchungu na utaifa mkuu
 
Hivi viongozi wa CCM wamelogwa au? wanaugua ugonjwa gani? mbona hawatuambii wana ugua nini? Lakini kila siku wako kwenye msururu wa kwenda Loliondo kwa babu?

Nauliza maswli haya kutokana na yanayotokea hapa TZ siku za karibuni.

Wakati wa maandamano ya CDM kanda ya ziwa CCM na viongozi wake walikurupua na kusema eti CDM inawapa watu pesa ili wahudhurie maandamano yao kitu ambacho ni uongo maana siamini kama CDM inaweza hela kwa kiwango wanachofikiria hawa CCM ila ni ukweli kwamba CDM inapendwa na watu kutokana na sera zake na kuwa na viongozi wenye nia njema na waTZ, mfano Dr. Slaa ni mtu ambaye kama huna matatizo ya akili na kama hunufaiki na ufisadi unaoendelea hapa nchini lazima utamuunga mkono kwa sababu ni mtu msafi anayejali watu na mwenye uchungu na hii nchi yetu. Ukiangalia Mbowe na Tundu lisu ni watu safi kabisa na wana nia ya dhati ya kuwakomboa waTZ mikononi mwa mafisadi hawa wa Tz ie CCM.
Kuna huyu kijana Zitto amekuwa anachuja kadiri siku zinavyoenda kwa kutokuwa na misimamamo kweli ya kuwatetea waTZ, vijana wengi wanaanza kupunguza imani kwa huyu bwana lakini akijirekebisha na kujisafisha basi naye ni mtu watu.

Ona timu ya CDM:

1. Freeman Mbowe-Moshi
2. Dr Wilbroad Slaa-Arusha
3. Tundu Lisu-Singida
4. Zito Kabwe-Kigoma
5. John Myika-Dar/ubungo
6. Joseph Mbilinyi aka Sugu-Mbeye
7. Godbless Lema-Arusha
8. Saidi Arfi- Rukwa/Mpanda
9. Prof Kahigi-Shinyaga
10. Wenje-Mwanza/Nyamagana
11.Ndesamburo-Moshi
12. Halima Mdee-Dar/Kawe
13.Peter Msigwa-Iringa
14. Prof. Baregu- Dar
15. Prof Safari: Dar
16. Annakomu-ZNZ
17.Vicent Nyerere- Mara/musoma
18. Wilfred Rwakatare-Bukoba
19. Regina Mtema-Morogoro
20. Highness-Mwanza/Ilemela
21. Mabere Marando-Mara/Bunda

Hao ni wachache tu hii ndio timu ya mafaniko ya watanzani, kumbuka Nyerere alizunguka hii nchi mwenyewe wakati wa kudai uhuru sasa mnafikiri, hiyo timu itashindwa kuikomboa TZ mikononi mwa CCM ile hali kuna wnanchi nyuma yake?

Waseme kila wanachikiweza lakini tanzania lazima ikombolewe.

Nimekukubali!
 
Hivi viongozi wa CCM wamelogwa au? wanaugua ugonjwa gani? mbona hawatuambii wana ugua nini? Lakini kila siku wako kwenye msururu wa kwenda Loliondo kwa babu?

Nauliza maswli haya kutokana na yanayotokea hapa TZ siku za karibuni.

Wakati wa maandamano ya CDM kanda ya ziwa CCM na viongozi wake walikurupua na kusema eti CDM inawapa watu pesa ili wahudhurie maandamano yao kitu ambacho ni uongo maana siamini kama CDM inaweza hela kwa kiwango wanachofikiria hawa CCM ila ni ukweli kwamba CDM inapendwa na watu kutokana na sera zake na kuwa na viongozi wenye nia njema na waTZ, mfano Dr. Slaa ni mtu ambaye kama huna matatizo ya akili na kama hunufaiki na ufisadi unaoendelea hapa nchini lazima utamuunga mkono kwa sababu ni mtu msafi anayejali watu na mwenye uchungu na hii nchi yetu. Ukiangalia Mbowe na Tundu lisu ni watu safi kabisa na wana nia ya dhati ya kuwakomboa waTZ mikononi mwa mafisadi hawa wa Tz ie CCM.
Kuna huyu kijana Zitto amekuwa anachuja kadiri siku zinavyoenda kwa kutokuwa na misimamamo kweli ya kuwatetea waTZ, vijana wengi wanaanza kupunguza imani kwa huyu bwana lakini akijirekebisha na kujisafisha basi naye ni mtu watu.

Ona timu ya CDM:

1. Freeman Mbowe-Moshi
2. Dr Wilbroad Slaa-Arusha
3. Tundu Lisu-Singida
4. Zito Kabwe-Kigoma
5. John Myika-Dar/ubungo
6. Joseph Mbilinyi aka Sugu-Mbeye
7. Godbless Lema-Arusha
8. Saidi Arfi- Rukwa/Mpanda
9. Prof Kahigi-Shinyaga
10. Wenje-Mwanza/Nyamagana
11.Ndesamburo-Moshi
12. Halima Mdee-Dar/Kawe
13.Peter Msigwa-Iringa
14. Prof. Baregu- Dar
15. Prof Safari: Dar
16. Annakomu-ZNZ
17.Vicent Nyerere- Mara/musoma
18. Wilfred Rwakatare-Bukoba
19. Regina Mtema-Morogoro
20. Highness-Mwanza/Ilemela
21. Mabere Marando-Mara/Bunda

Hao ni wachache tu hii ndio timu ya mafaniko ya watanzani, kumbuka Nyerere alizunguka hii nchi mwenyewe wakati wa kudai uhuru sasa mnafikiri, hiyo timu itashindwa kuikomboa TZ mikononi mwa CCM ile hali kuna wnanchi nyuma yake?

Waseme kila wanachikiweza lakini tanzania lazima ikombolewe.

....Ongeza Mzee Joseph Selasini(Maswa)...mashine kubwa na imara ya mageuzi Shinyanga. Lakini cha msingi:hawa ni waongoza njia tu, timu ya ukombozi ni Watanzania wenyewe kwa ujumla wao-kujua haki zao na kuzisimamia dhidi ya mikono dhalimu na ya kifisadi
 
Timu ya kitoto sana hii. Wengi ni watu wa kususasusa tu. Zitto Kabwe mimi namkubali, ni shujaa wa kweli si wa kubebwabebwa tu.
 
Hivi viongozi wa CCM wamelogwa au? wanaugua ugonjwa gani? mbona hawatuambii wana ugua nini? Lakini kila siku wako kwenye msururu wa kwenda Loliondo kwa babu?

Nauliza maswli haya kutokana na yanayotokea hapa TZ siku za karibuni.

Wakati wa maandamano ya CDM kanda ya ziwa CCM na viongozi wake walikurupua na kusema eti CDM inawapa watu pesa ili wahudhurie maandamano yao kitu ambacho ni uongo maana siamini kama CDM inaweza hela kwa kiwango wanachofikiria hawa CCM ila ni ukweli kwamba CDM inapendwa na watu kutokana na sera zake na kuwa na viongozi wenye nia njema na waTZ, mfano Dr. Slaa ni mtu ambaye kama huna matatizo ya akili na kama hunufaiki na ufisadi unaoendelea hapa nchini lazima utamuunga mkono kwa sababu ni mtu msafi anayejali watu na mwenye uchungu na hii nchi yetu. Ukiangalia Mbowe na Tundu lisu ni watu safi kabisa na wana nia ya dhati ya kuwakomboa waTZ mikononi mwa mafisadi hawa wa Tz ie CCM.
Kuna huyu kijana Zitto amekuwa anachuja kadiri siku zinavyoenda kwa kutokuwa na misimamamo kweli ya kuwatetea waTZ, vijana wengi wanaanza kupunguza imani kwa huyu bwana lakini akijirekebisha na kujisafisha basi naye ni mtu watu.

Ona timu ya CDM:

1. Freeman Mbowe-Moshi
2. Dr Wilbroad Slaa-Arusha
3. Tundu Lisu-Singida
4. Zito Kabwe-Kigoma
5. John Myika-Dar/ubungo
6. Joseph Mbilinyi aka Sugu-Mbeye
7. Godbless Lema-Arusha
8. Saidi Arfi- Rukwa/Mpanda
9. Prof Kahigi-Shinyaga
10. Wenje-Mwanza/Nyamagana
11.Ndesamburo-Moshi
12. Halima Mdee-Dar/Kawe
13.Peter Msigwa-Iringa
14. Prof. Baregu- Dar
15. Prof Safari: Dar
16. Annakomu-ZNZ
17.Vicent Nyerere- Mara/musoma
18. Wilfred Rwakatare-Bukoba
19. Regina Mtema-Morogoro
20. Highness-Mwanza/Ilemela
21. Mabere Marando-Mara/Bunda

Hao ni wachache tu hii ndio timu ya mafaniko ya watanzani, kumbuka Nyerere alizunguka hii nchi mwenyewe wakati wa kudai uhuru sasa mnafikiri, hiyo timu itashindwa kuikomboa TZ mikononi mwa CCM ile hali kuna wnanchi nyuma yake?

Waseme kila wanachikiweza lakini tanzania lazima ikombolewe.


sahamani mkuu kwenye red ni TARIME ili kuweka kumbukumbu sawa
 
Hilo benchi la ufundi jumlisha na watanzania wote toa mafisadi,wabinafsi,wanaotumia mamlaka zao kugandamiza haki za wengine nk
 
Hivi watanzania wote ni wanachadema? guys wake up, hizi generalisation kills you!
 
Tarime nipo mimi (speaker)
Mwita waitara
Heche
na wana tarime wote,marando ni wa rorya huko

Asante sana speaker, najua kule hakiharibiki jambo migodi vp? dhahabu bado zipo?
 
....Ongeza Mzee Joseph Selasini(Maswa)...mashine kubwa na imara ya mageuzi Shinyanga. Lakini cha msingi:hawa ni waongoza njia tu, timu ya ukombozi ni Watanzania wenyewe kwa ujumla wao-kujua haki zao na kuzisimamia dhidi ya mikono dhalimu na ya kifisadi

Kanda ya ziwa nawaaminia
 
Back
Top Bottom