STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Hivi viongozi wa CCM wamelogwa au? wanaugua ugonjwa gani? mbona hawatuambii wana ugua nini? Lakini kila siku wako kwenye msururu wa kwenda Loliondo kwa babu?
Nauliza maswli haya kutokana na yanayotokea hapa TZ siku za karibuni.
Wakati wa maandamano ya CDM kanda ya ziwa CCM na viongozi wake walikurupua na kusema eti CDM inawapa watu pesa ili wahudhurie maandamano yao kitu ambacho ni uongo maana siamini kama CDM inaweza hela kwa kiwango wanachofikiria hawa CCM ila ni ukweli kwamba CDM inapendwa na watu kutokana na sera zake na kuwa na viongozi wenye nia njema na waTZ, mfano Dr. Slaa ni mtu ambaye kama huna matatizo ya akili na kama hunufaiki na ufisadi unaoendelea hapa nchini lazima utamuunga mkono kwa sababu ni mtu msafi anayejali watu na mwenye uchungu na hii nchi yetu. Ukiangalia Mbowe na Tundu lisu ni watu safi kabisa na wana nia ya dhati ya kuwakomboa waTZ mikononi mwa mafisadi hawa wa Tz ie CCM.
Kuna huyu kijana Zitto amekuwa anachuja kadiri siku zinavyoenda kwa kutokuwa na misimamamo kweli ya kuwatetea waTZ, vijana wengi wanaanza kupunguza imani kwa huyu bwana lakini akijirekebisha na kujisafisha basi naye ni mtu watu.
Ona timu ya CDM:
1. Freeman Mbowe-Moshi
2. Dr Wilbroad Slaa-Arusha
3. Tundu Lisu-Singida
4. Zito Kabwe-Kigoma
5. John Myika-Dar/ubungo
6. Joseph Mbilinyi aka Sugu-Mbeye
7. Godbless Lema-Arusha
8. Saidi Arfi- Rukwa/Mpanda
9. Prof Kahigi-Shinyaga
10. Wenje-Mwanza/Nyamagana
11.Ndesamburo-Moshi
12. Halima Mdee-Dar/Kawe
13.Peter Msigwa-Iringa
14. Prof. Baregu- Dar
15. Prof Safari: Dar
16. Annakomu-ZNZ
17.Vicent Nyerere- Mara/musoma
18. Wilfred Rwakatare-Bukoba
19. Regina Mtema-Morogoro
20. Highness-Mwanza/Ilemela
21. Mabere Marando-Mara/Bunda
Hao ni wachache tu hii ndio timu ya mafaniko ya watanzani, kumbuka Nyerere alizunguka hii nchi mwenyewe wakati wa kudai uhuru sasa mnafikiri, hiyo timu itashindwa kuikomboa TZ mikononi mwa CCM ile hali kuna wnanchi nyuma yake?
Waseme kila wanachikiweza lakini tanzania lazima ikombolewe.
Nauliza maswli haya kutokana na yanayotokea hapa TZ siku za karibuni.
Wakati wa maandamano ya CDM kanda ya ziwa CCM na viongozi wake walikurupua na kusema eti CDM inawapa watu pesa ili wahudhurie maandamano yao kitu ambacho ni uongo maana siamini kama CDM inaweza hela kwa kiwango wanachofikiria hawa CCM ila ni ukweli kwamba CDM inapendwa na watu kutokana na sera zake na kuwa na viongozi wenye nia njema na waTZ, mfano Dr. Slaa ni mtu ambaye kama huna matatizo ya akili na kama hunufaiki na ufisadi unaoendelea hapa nchini lazima utamuunga mkono kwa sababu ni mtu msafi anayejali watu na mwenye uchungu na hii nchi yetu. Ukiangalia Mbowe na Tundu lisu ni watu safi kabisa na wana nia ya dhati ya kuwakomboa waTZ mikononi mwa mafisadi hawa wa Tz ie CCM.
Kuna huyu kijana Zitto amekuwa anachuja kadiri siku zinavyoenda kwa kutokuwa na misimamamo kweli ya kuwatetea waTZ, vijana wengi wanaanza kupunguza imani kwa huyu bwana lakini akijirekebisha na kujisafisha basi naye ni mtu watu.
Ona timu ya CDM:
1. Freeman Mbowe-Moshi
2. Dr Wilbroad Slaa-Arusha
3. Tundu Lisu-Singida
4. Zito Kabwe-Kigoma
5. John Myika-Dar/ubungo
6. Joseph Mbilinyi aka Sugu-Mbeye
7. Godbless Lema-Arusha
8. Saidi Arfi- Rukwa/Mpanda
9. Prof Kahigi-Shinyaga
10. Wenje-Mwanza/Nyamagana
11.Ndesamburo-Moshi
12. Halima Mdee-Dar/Kawe
13.Peter Msigwa-Iringa
14. Prof. Baregu- Dar
15. Prof Safari: Dar
16. Annakomu-ZNZ
17.Vicent Nyerere- Mara/musoma
18. Wilfred Rwakatare-Bukoba
19. Regina Mtema-Morogoro
20. Highness-Mwanza/Ilemela
21. Mabere Marando-Mara/Bunda
Hao ni wachache tu hii ndio timu ya mafaniko ya watanzani, kumbuka Nyerere alizunguka hii nchi mwenyewe wakati wa kudai uhuru sasa mnafikiri, hiyo timu itashindwa kuikomboa TZ mikononi mwa CCM ile hali kuna wnanchi nyuma yake?
Waseme kila wanachikiweza lakini tanzania lazima ikombolewe.