Hii ndiyo tiba kwa tatizo la kutopata choo

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
25,470
45,614
Naskia kuna watu wana tatizo la kupata choo,

Dawa: juice ya vitunguu swaumu nusu lita
Muda: Asubuhi kabla hujanywa kitu chochote ukae nusu saa ndo ule kitu kingine
Matokeo: dakika kumi
Nilijuaje: Kwenye group letu la kupunguza vitambi tuliambiwa tunywe tukinywa wote baada ya dakika kumi lazima ukapupuwe.

Kwa wale wenye shida ongezeeni hii kwenye tiba zenu
 
Nusu lita??? mbona nyingi sana, hebu dadavua punje ngapi unasaga???
 
Naskia kuna watu wana tatizo la kupata choo,

Dawa: juice ya vitunguu swaumu nusu lita
Muda: Asubuhi kabla hujanywa kitu chochote ukae nusu saa ndo ule kitu kingine
Matokeo: dakika kumi
Nilijuaje: Kwenye group letu la kupunguza vitambi tuliambiwa tunywe tukinywa wote baada ya dakika kumi lazima ukapupuwe.

Kwa wale wenye shida ongezeeni hii kwenye tiba zenu
hii hata kwa mjamzito jamani?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom