Nianze kwa kutangaza Maslahi mimi ni Mjumbe wa Baraza kuu la CHADEMA
Kwanza wafahamu wajumbe wa Baraza kuu..........
1.VIONGOZI WOTE WA KITAIFA,
2.WENYEVITI WOTE WAMIKOA,
3.WENYEVITI WOTE WILAYA,
4.WENYEVITI WOTE WA MAJIMBO,
Mh Zitto amekuwa na imani na Baraza kuu kwa sababu hii;
wajumbe wengi wa Baraza kuu tuliwahi kushawishika na Hoja ya Mh Zitto kuwa akiwa mwenyekiti wa Taifa atawalipa mshara viongozi wote hadi Ngazi ya Wilaya, kwa maana hiyo wajumbe wa Baraza kuu walijua kuwa Mh Zitto akiwa Mwenyekiti wa Taifa tutakuwa tunafanya kazi ya kulipwa tofauti na sasa ambayo tunajitolea,
Binafsi niliwahi kuwa muumini wa Mh Zitto hadi siku alipo vuliwa nyazifa zote za uongozi ndani ya Chama, mimi ni kati ya watu ambao niliumizwa na uwamuzi huo, lakini nidhamu ambayo Mh Zitto ameionyesha ndani na nje ya Vikao kwa Viongozi na wanacha imenifanya nimdharau kama siyo kumchukia Mh Zitto,
naomba mungu anipe uzima niweze kushiriki kwenye Baraza kuu itakayo jadili Rufaa ya Zitto, haki tena tutakufukuza...
Kwanza wafahamu wajumbe wa Baraza kuu..........
1.VIONGOZI WOTE WA KITAIFA,
2.WENYEVITI WOTE WAMIKOA,
3.WENYEVITI WOTE WILAYA,
4.WENYEVITI WOTE WA MAJIMBO,
Mh Zitto amekuwa na imani na Baraza kuu kwa sababu hii;
wajumbe wengi wa Baraza kuu tuliwahi kushawishika na Hoja ya Mh Zitto kuwa akiwa mwenyekiti wa Taifa atawalipa mshara viongozi wote hadi Ngazi ya Wilaya, kwa maana hiyo wajumbe wa Baraza kuu walijua kuwa Mh Zitto akiwa Mwenyekiti wa Taifa tutakuwa tunafanya kazi ya kulipwa tofauti na sasa ambayo tunajitolea,
Binafsi niliwahi kuwa muumini wa Mh Zitto hadi siku alipo vuliwa nyazifa zote za uongozi ndani ya Chama, mimi ni kati ya watu ambao niliumizwa na uwamuzi huo, lakini nidhamu ambayo Mh Zitto ameionyesha ndani na nje ya Vikao kwa Viongozi na wanacha imenifanya nimdharau kama siyo kumchukia Mh Zitto,
naomba mungu anipe uzima niweze kushiriki kwenye Baraza kuu itakayo jadili Rufaa ya Zitto, haki tena tutakufukuza...