oba
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 310
- 65
Kuweka pesa akaunti isiyo yako 1000.00, kuangalia salio 200, kuchukua pesa ATM 400, kuchukua pesa ndani 700, service charge per month 500
. Hii ni nini kama siyo wizi? kuna faida gani ya kuweka pesa benki? naona nirejee mbinu ile ya babu ya kutunza vichele vyangu kwenye kibuyu, pesa yenyewe naipata kwa shida, akaunti yenyewe ina pesa isiyofika hata 200000, niweke NMB so what? naibiwa tu!
. Hii ni nini kama siyo wizi? kuna faida gani ya kuweka pesa benki? naona nirejee mbinu ile ya babu ya kutunza vichele vyangu kwenye kibuyu, pesa yenyewe naipata kwa shida, akaunti yenyewe ina pesa isiyofika hata 200000, niweke NMB so what? naibiwa tu!