Peeeeeeeeeeeeeeeeeeeples
hata mrema walimsukuma, walimsukuma, walimbeba mwishowe anakoboka ngozi kama nyoka. huyo nae watamzuia watamsukuma na kumbeba mwisho ataenda kulea mjukuu wa mwanae josephine mushumbushi.
hata mrema walimsukuma, walimsukuma, walimbeba mwishowe anakoboka ngozi kama nyoka. huyo nae watamzuia watamsukuma na kumbeba mwisho ataenda kulea mjukuu wa mwanae josephine mushumbushi.
Mkuu, ni mjukuu au mwanae?hata mrema walimsukuma, walimsukuma, walimbeba mwishowe anakoboka ngozi kama nyoka. huyo nae watamzuia watamsukuma na kumbeba mwisho ataenda kulea mjukuu wa mwanae josephine mushumbushi.
siamini kama unatumia mdomo kusema, inawezekana masaburi @work!
hakuna shaka kwamba saa ya ukombozi imewaidia kwakuwa wenye nchi wameamua kufanya mabadadiliko na hakuna mwenye kuwazuia ingawaje tunaweza kujidanganya vinginevyo lakini ukweli ni kwamba chama chetu cha maulaji muda wa kuendelea kula umetaradadi kuhitimishwa.
hata mrema walimsukuma, walimsukuma, walimbeba mwishowe anakoboka ngozi kama nyoka. huyo nae watamzuia watamsukuma na kumbeba mwisho ataenda kulea mjukuu wa mwanae josephine mushumbushi.
siamini kama unatumia mdomo kusema, inawezekana masaburi @work!
Wacha hayo maneno ya mkosaji kama sio wizi wa kura nani ana story na CCM???? Safari hii nakwambia hata wizi hamtaweza tutajipanga mpaka kieleweke lazima tuwapige chini tumewachoka na wizi wenu!!!!Mfano uliona kwa ARUMERU!!!hata mrema walimsukuma, walimsukuma, walimbeba mwishowe anakoboka ngozi kama nyoka. huyo nae watamzuia watamsukuma na kumbeba mwisho ataenda kulea mjukuu wa mwanae josephine mushumbushi.
umelewa tambi ha! ha! ha! ha!Chadema mzunguke, hata mara mia. Nchi hampati kuiongoza, kwa kura za wangapi? kwi kwi kwi teh teh teh! Kwanza wale mnaosema ndio kidogo Tanzania msahau kabisa kura zao.