MESAYA
Member
- Jan 4, 2012
- 55
- 52
Sasa kwanini tusiungane kwa pamoja kwa kufanya mkutano wa hadhara na watanzania waliotutuma vyuoni ili kuupinga udhalimu huu wa serikali vyuoni? Wadau tusaidiane kulifikiria hili na tuma maoni yako kwenye e.mail ifuatayo: w.together@yahoo.comView attachment ELIUS-MPYA WARAKA.docx