Hii ndiyo hali ya mfumo wa afya Tanzania - Jionee tulivyo katika hali ngumu

Sina takwimu kamili lakini kwa kuwataja wachache ni Prof.Abood,Prof. Yongolo,Dr Mbambo,Dr Mheta,Dr Kategile na kuna chuo KCMC Kina toa wahitimu kila mwaka kwenye hiyo fani kwa takwimu sahihi muandikie msajili Baraza la madaktari.
Tafadhali marekebisho ni Dr Mbwambo na Dr Mteta na siyo kama nilivyokosea hapo mbambo na mheta ,Mheta yeye fani yake nyingine
 
Sina takwimu kamili lakini kwa kuwataja wachache ni Prof.Abood,Prof. Yongolo,Dr Mbambo,Dr Mheta,Dr Kategile na kuna chuo KCMC Kina toa wahitimu kila mwaka kwenye hiyo fani kwa takwimu sahihi muandikie msajili Baraza la madaktari.

Kulikuwa na Prof Mkoni pale muhimbili,kama kumbukumbu zangu ziko sawa,naye pia ni urologist
 
Hizi data zinamapungufu makubwa kwani hakuna majumuisho ya mabigwa waliopo kwenye hospitali za rufaa mbeya,bugando , KCMC NA NEWLY UPGRADED REFERRAL HOSPITALS ,Vile vile hospitali za binafsi.Wewe umetaja unaowawajua wewe tu halafu specialities nne wakati medicine ina specialities lukuki na huko pia tuna madakari bingwa fani husika.Miaka ya karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la madaktari bingwa kwenye fani mbali mbali.

WATU WENGINE MMEZOEA UBISHI USOKUWA NA MAANA NA HUU NI UPUNGUFU WA ** NI UGONJWA MBAYA NA HATARI MAANA NDG UNACHOTETEA HATA AKIELEWEKI CHA MAANA ULICHOTAKIWA NI KUCHANGIA KUHUSU TAKWIMU HIZO ZA WATAALUMA AMBAO HATA UKI-multply KWA 100 NI BADO HAWATOSHI TU. TUKUELEWEJE!? Unajipa moyo!! Au ndo kukata tamaa na kujiandikisha kwenye daftari la MAREHEMU WATARAJIWA!? MUHIMU MUOMBE SAANA MUNGU WETU USIUGUE. Karakabao watu wengine mnachefua kujifanya unajua kumbe mbumbu tu huna lolote.Siku nyingine acha wenye a**** wachangie hoja huenda ufumbzi ukapatikana
 
Nadhani tunachosema hapa sekta yetu ya afya in mapungufu sana, na sidhani hao madaktari kuwepo kwenye hospitali binafsi wanapatikana kwa waTz wote.

Hii i baadhi ya hizo hospitali za rufaa zilizopandiswa;

Hospitali ya rufaa Rukwa ina specialist mmoja ambaye ni General surgeon.

Hospitali ya rufaa Singida ina specialist wawili: mmojawapo akiwa ni mpasuaji wa uso na kinywa.

Hospitali ya Rufaa ya Dodoma wapo wawili: mmoja ni Intrenal medicine specialist na Gynaecologist

Hospitali za Rufaa za Lindi na Mtwara hazina madaktari bingwa.

Hospitali ya Rufaa Morogoro ina daktari bingwa wa magojwa ya watoto, gynaecologist na surgeon.

Labda kukusaidia mkuu, utaratibu wa masomo ya udaktari Canada na Marekani siyo hoja hapa, maana tunazungumzia madaktari wa Tz. Na kimsingi muda mfupi kabisa wa kusomea shahada ya kwanza ya tiba duniani kote ni miaka 5 ambao ndiyo tunautumia hapa. Najua una ufahamu mkubwa sana juu ya mitaala ya kufundishia madaktari, lakini katika hizi hoja tunazungumzia madaktari wa Tz. Kuitwa au kujiita consultant si hoja na wala haimfanyi mtu kuwa mtaalamu sana, leo ukienda India kila Dr anayefanya kazi katika sekta binafsi ni consultant! Hizo specialty nyingine wala sikutaka hata kuzitaja maana ukitaka kuangalia hizo specialty nyingine, hautawakuta mfano mzuri tu madaktari wa tiba ya akili wako Muhimbili, KCMC yupo mmoja na Mirembe yuko mmoja, huko kwingine kote hawapo sasa unataka niaze kuzungumzia Rheumatologist na hepatologists utawapata wapi. Kwa napenda kukufahamisha tuna upungufu mkubwa katika sekta ya afya katika nchi yetu.

Hoja ninayoileta hapa ni kuwa tuna upungufu mkubwa wa wataalamu, katika mkoa wa Rukwa zahanati zote zkaribu zote zilizoko wilaya ya Sumbawanga vijijini hazina clinical officers, na wanaotoa huduma huko ni attendants ambao ukiwakuta muhimbili kazi ya kusafisha wodi na kupeleka vipimo maabara. Kwa maana hiyo hawa wanafanya kazi zote katika hizo zahanati.
 
Ni ukweli siku za karibuni kuna ongezeko la madaktari bingwa, na wengi waliongezeka sio wale wa subspecialization (kwa maana waliobobea katika fani mbali mbali). Kwa hiyo usione Madr wanaonekana wengi Muhimbili ukadhani ni wengi sana nchi hii kwa maana ya maeneo yake mengine na hospitali za mikoa hakuna madaktari na pia hakuna vifaa vya kufanyia kazi.

Lakini pia ukumbuke madkatri bingwa wengi waliongezeka hawafanyi kazi za kutibu wengi wako kwenye miradi kwa maana ya NGO's na Research institutes kwa hiyo ongezeko hilo halichangii kuboresha huduma maana hawatoi hizo huduma. Na pia tumeanza kupoteza madakatrai kuondoka nchini kwenda kusini mwa Afrika.
 
WATU WENGINE MMEZOEA UBISHI USOKUWA NA MAANA NA HUU NI UPUNGUFU WA ** NI UGONJWA MBAYA NA HATARI MAANA NDG UNACHOTETEA HATA AKIELEWEKI CHA MAANA ULICHOTAKIWA NI KUCHANGIA KUHUSU TAKWIMU HIZO ZA WATAALUMA AMBAO HATA UKI-multply KWA 100 NI BADO HAWATOSHI TU. TUKUELEWEJE!? Unajipa moyo!! Au ndo kukata tamaa na kujiandikisha kwenye daftari la MAREHEMU WATARAJIWA!? MUHIMU MUOMBE SAANA MUNGU WETU USIUGUE. Karakabao watu wengine mnachefua kujifanya unajua kumbe mbumbu tu huna lolote.Siku nyingine acha wenye a**** wachangie hoja huenda ufumbzi ukapatikana
Angalia data za mtoa mada ni hizi hapa Tz ina Madaktari wa upasuaji wa mfumo wa fahamu (neuro surgeons)-3
Madaktari wa moyo ( cardiologists)-5
Madaktari wa figo (nephrologists)-3
Madaktari wa mfumo wa fahamu (neurologists)-2
Na nimesema hizi data sina mashaka hata kwa kuziangalia kwa haraka haraka tu.Madaktari aliowataja wote wapo Dar kwenye hospitali za serikali unataka kuniambia Bugando na kcmc hawana wataalamu wa aina hiyo aliyowataja mtoa mada ,pili mtoa mada amesema Tanzania ina .......... akaendelea je kweli hao wataalamu aliowataja kwenye hizo fani ndiyo tulionao tu Tanzania?.Hapa sikweli, sasa kama kusema kweli ni kujifanya ninajua basi na iwe hivyo.Kama angetoa mada kwa kuonyesha tuna uhaba wa madaktari ukilinganisha na wagonjwa hilo sawa lkn mada hii imespecify.
 
Bugando, KCMC na Mbeya hospitali ya rufaa hao wataalamu hawapo mkuu!!!

Labda kama kukufanunulia ni kwamba nchi yetu ina madaktari watatu tu wa magonjwa ya figo na wote wako Muhimbili. Ila huduma za dialysis ambayo ni machine za kusafisha damu ambazo zinafanya kazi badala ya figo ziko Muhimbili, Agha Khan na Regency. Mbeya wanazo mbili lakini hazifanyi kazi kwa sasa. kwa hiyo wagonjwa wanaenda clinic Muhimbili na wanafanya dilaysis huko kwingine.

Kwa hiyo kama unataka chukua population ya Tz ugawanye kwa hiyo 3 utajua uwiano wa madaktari wa figo kwa idadi ya watu. Na pia ujiulize wale wagonjwa wote wenye matatizo ya figo Kigoma wanapata wapi huduma au wanaachwa wafariki.
 
Ni ukweli siku za karibuni kuna ongezeko la madaktari bingwa, na wengi waliongezeka sio wale wa subspecialization (kwa maana waliobobea katika fani mbali mbali). Kwa hiyo usione Madr wanaonekana wengi Muhimbili ukadhani ni wengi sana nchi hii kwa maana ya maeneo yake mengine na hospitali za mikoa hakuna madaktari na pia hakuna vifaa vya kufanyia kazi.

Lakini pia ukumbuke madkatri bingwa wengi waliongezeka hawafanyi kazi za kutibu wengi wako kwenye miradi kwa maana ya NGO's na Research institutes kwa hiyo ongezeko hilo halichangii kuboresha huduma maana hawatoi hizo huduma. Na pia tumeanza kupoteza madakatrai kuondoka nchini kwenda kusini mwa Afrika.
Sikiliza kuna ongezeko la hata subspeciality lakini tatizo wanaporudi masomoni wizara haiwapaingii sehemu ambazo wanaweza kutoa huduma za subspeciality zao badala yake wanawapangia kwenye hospitali za mikoa na huko wanaenda kutumika kama madaktari bingwa tu na wanafanyakazi watakazo pangiwa na mwajiri wao mpya RAS kwa kushirikiana na RMO bila ya kujali subspeciality zao.Na hii inatokana na kwamba wizara haihusiki tena na ajira za National Hospital au hizo consultant hospital nyingine kama bugando na Kcmc.Na hawa hata wanapoomba sehemu ambazo wanaweza kutoa huduma za subspeciality kama Muhimbili,KCMC NA Bugando hawapewi kazi kwani hawa wana mfumo wao wa kuajiri na kwa kujuana au kuajiri wanafunzi wao waliomaliza kwenye vyuo vyao.Believe me kuna madaktari kadhaa wa subspeciality ninawajua binafsi hili limewakumba tena wengine kabla ya kwenda kusomea hizo subspeciality walikuwa waajiriwa wa muhimbili wamerudi masomoni na kurudi hapo hapo muhimbili anapangiwa afanye kazi kwenye Idara ambayo haihusiani kabisa na kile alichoenda kusubspeciality.Na anaambiwa idara ya kile alichoenda kusubspeciality hakauna nafasi lkn anakuja Dr mwengine baada yake kwasababu ni mtoto wa Prof. Mstaafu anapangiwa kwenye idara ambayo huyu wa awali aliambiwa idara haina nafasi.Kuna Dr namfahamu naye ni cardiologist yupo hapo muhimbili hata kabla ya Dr Mvungi hajaenda kusoma lakini unaona hata kwenye idadi ya ma cardiologists waliotajwa humu hakuhesabiwa na wale waliotajwa kwa majina naye lake halipo na yupo hapo hapo muhimbili na siyo Internal medicine specialist but He is Cardiologist.Kuna hata ukiritimba kwenye Tanganyika Medical Board mtu anarudi kasomea subspeciality wao kupitia board wanampa leseni ya kupractize kama general speciality kwenye fani husika.
 
mi nauliza mbona waliomaliza clinical officer mwaka jana hawajapangiwa vituo vya kazi?
 
kuna watu wanabishana humu kwa sababu tu wana uzoefu wa kubishana. Kuna utofauti mkubwa kati ya cardiothoracic surgeon na cardiologist. Mwingine ni medical treatment na mwingine ni surgical management. Mambo ya kujiita consultant si hata yule wa fiterawa anajiita bingwa wa vidonda vya tumbo? Hiyo ni kujipromote tu apate wateja. Na mfumo wa kusoma umetofautiana kwenye mambo ya lugha na internship. Kuna nchi watu wanasoma miaka sita ukijumlisha na mmoja wa lugha inayotumika na kuna nchi wanafanya internship miaka miwili. Five years rate ni sa
 
Nawafahamu baadhi ya madaktari wa moyo na madaktari wengine wa kitanzania wanaofanyia nje ambao wangekuwa msaada mkubwa sana kama wangeamua kurudi nyumbani.
Lakini mkuu hizo data zako za madaktari specialists nadhani ni wale walioajiriwa serikalini tu,hukujumlisha na wale wa private,au?all in all hali ni mbaya na inasikitisha sana.Tatizo ni ubinafsi na kutojua vipaumbele vyetu kama nchi

Mkuu nadhani umesahau "Tido effect". Unaondoka Uingereza, Marekani au Ufaransa unakuja Tanzania anajitolea kwa moyo wote yanakukuta kama ya Tido mhando, unafukuzwa na mtu kama Makamba. Why the hell bother? Kwanini usikae ambako wanaokuajiri wanakujali na wanaheshimu huduma yako? Au unafanya kama Daudi Balali unarudi nyumbani halafu unakuja aibishwa na kutiwa aibu na mafisadi na hata unawekewa sumu karibu ufe.

Unatumiwa na wanasiasa, baada ya kufanikisha malengo yao unatupwa kama mbwa. Ni bora wakae huko huko, hadi tukijifunza ku-deal na uozo wa kwenye system yetu.
 
Serekali inachojali ni uhakika wa utawala, mambo mengine yatajisumbukia yenyewe. Maisha bora kwa kila mtanzania. Ccm oyeee!
 
.....Believe me kuna madaktari kadhaa wa subspeciality ninawajua binafsi hili limewakumba tena wengine kabla ya kwenda kusomea hizo subspeciality walikuwa waajiriwa wa muhimbili wamerudi masomoni na kurudi hapo hapo muhimbili anapangiwa afanye kazi kwenye Idara ambayo haihusiani kabisa na kile alichoenda kusubspeciality.Na anaambiwa idara ya kile alichoenda kusubspeciality hakauna nafasi lkn anakuja Dr mwengine baada yake kwasababu ni mtoto wa Prof. Mstaafu anapangiwa kwenye idara ambayo huyu wa awali aliambiwa idara haina nafasi..........

KUNA TOFAUTI KATI YA SPECIALIZATION NA SUBSPECIALIZATION!!!

Huyo Dr alikwenda nje kufanya specialization katika magonjwa ya akina mama, kabla ya kuondoka alikuwa idara ya upasuaji kitengo cha plastic surgery, aliporudi masomoni kama Dr bingwa wa magonjwa ya kina mama idara ya hayo magonjwa walisema hawana nafasi, kwa hiyo akarudi idara ya upasuaji kitengo kile kile cha plastic surgery.



Subspecialization ni wale wataalamu ambao ni mabingwa tayari, mfano surgeons wanaenda kusomea subspecialty sasa mfano upasuaji wa moyo, upasuaji wa mfumo wa fahamu, upasuaji wa mfumo wa chakula, upasuaji wa mishipa ya damu nk. Au wale ambao ni mabingwa wa magonjwa ya ndani au ya watoto wanakwenda kusomea magonjwa ya figo, moyo, ini nk. Hawa ndiyo waliofanya subspecialization. Sasa ukiniambia unawajua cardiologists walioko Muhimbili hawapangiwi kazi za cardiology si kweli kwa sababu hata idara ya Internal medicine (Medical department) ya Muhimbili imagawanywa katika unit sasa hivi na wana unit ya cardiology, hao niliwataja hapo wako katika hiyo unit.

Na hawa wataalamu wenye subspecialization ni wachache sana kama nilivyotaja idadi yao hapo awali, na wengi wao au kama si wote wako Muhimbili. Kwa kuwa tuna kasumba ya kukataa ukweli sitashangaa kwa wale watakao kataa na kusema tunao, lakini ukweli utabaki kuwa huo. Na kama unataka we fuatilia katika hizo hospitali nyingine zote utapewa taarifa.

Hata ukiangalia katika hospitali zetu za mikoa ambazo zimepewa hadhi ya kuwa za rufaa idadi ya madakatri bingwa (specialists) ni ndogo sana, nyingine hazina kabisa hao madaktari bingwa.
 
Asante kwa taarifa hii. Lakini serikali imechaguluwa na wananchi hawa

Mzee MMK hii kauli unaipenda sana" kuwa serikali hii imechanguliwa na wanachi hawa" hivi ndani ya mioyo ya waTanzania katika watu wawili jaribu kuuliza nani alimchagua nani.....watu wanauchungu sana.! lile vugu vugu la uchaguzi halikuwa bure ndugu yangu..mimi nakuomba ACHA kusema hiyo kauli inawaumiza sana watu ambao ambao walioshiriki uchaguzi wa viongozi.
 
Nadhani tunachosema hapa sekta yetu ya afya in mapungufu sana, na sidhani hao madaktari kuwepo kwenye hospitali binafsi wanapatikana kwa waTz wote.

Hii i baadhi ya hizo hospitali za rufaa zilizopandiswa;

Hospitali ya rufaa Rukwa ina specialist mmoja ambaye ni General surgeon.

Hospitali ya rufaa Singida ina specialist wawili: mmojawapo akiwa ni mpasuaji wa uso na kinywa.

Hospitali ya Rufaa ya Dodoma wapo wawili: mmoja ni Intrenal medicine specialist na Gynaecologist

Hospitali za Rufaa za Lindi na Mtwara hazina madaktari bingwa.

Hospitali ya Rufaa Morogoro ina daktari bingwa wa magojwa ya watoto, gynaecologist na surgeon.

Labda kukusaidia mkuu, utaratibu wa masomo ya udaktari Canada na Marekani siyo hoja hapa, maana tunazungumzia madaktari wa Tz. Na kimsingi muda mfupi kabisa wa kusomea shahada ya kwanza ya tiba duniani kote ni miaka 5 ambao ndiyo tunautumia hapa. Najua una ufahamu mkubwa sana juu ya mitaala ya kufundishia madaktari, lakini katika hizi hoja tunazungumzia madaktari wa Tz. Kuitwa au kujiita consultant si hoja na wala haimfanyi mtu kuwa mtaalamu sana, leo ukienda India kila Dr anayefanya kazi katika sekta binafsi ni consultant! Hizo specialty nyingine wala sikutaka hata kuzitaja maana ukitaka kuangalia hizo specialty nyingine, hautawakuta mfano mzuri tu madaktari wa tiba ya akili wako Muhimbili, KCMC yupo mmoja na Mirembe yuko mmoja, huko kwingine kote hawapo sasa unataka niaze kuzungumzia Rheumatologist na hepatologists utawapata wapi. Kwa napenda kukufahamisha tuna upungufu mkubwa katika sekta ya afya katika nchi yetu.

Hoja ninayoileta hapa ni kuwa tuna upungufu mkubwa wa wataalamu, katika mkoa wa Rukwa zahanati zote zkaribu zote zilizoko wilaya ya Sumbawanga vijijini hazina clinical officers, na wanaotoa huduma huko ni attendants ambao ukiwakuta muhimbili kazi ya kusafisha wodi na kupeleka vipimo maabara. Kwa maana hiyo hawa wanafanya kazi zote katika hizo zahanati.

Kifupi niseme tu kwamba uko sahihi katika hoja yako na tangia mwanzo niliunga mkono.Shida ni jinsi ulivyoileta na kui back up na data ambazo siyo sahihi.Sasa hatuwezi kukuacha ukipotosha umma.
Siwezi kukulaumu.Labda nyinyi bongo huko mnajiita ma consultant bila kuwa na vigezo.Fuatilia mfumo wa UK,utajua consultant ni daktari gani na ili uwe consultant unatakiwa uwe na vigezo gani.Labda useme hapa kama unajua aliposomea Dr.Lari
Kwa vinchi vyenye uhaba wa ma specialists kama yetu,unamaanisha cardiothoracic surgeon hawezi ku manage case ya arterial hypertension au hata hypercholesterolemia kwa kutumia ujuzi alioupata wakati anafanya degree ya kwanza?
 
quote_icon.png
By NgumiJiwe
Kulikuwa na Prof Mkoni pale muhimbili,kama kumbukumbu zangu ziko sawa,naye pia ni urologist





Yupo amestaafu sijui kama walimpa mkataba na Ndiyo alikuwa mkuu wa Idara na sijui anafanyia wapi kwasasa.

Naye yumo katika hiyo idadi..vp unadhani itabidilisha picha yote?
 
kuna watu wanabishana humu kwa sababu tu wana uzoefu wa kubishana. Kuna utofauti mkubwa kati ya cardiothoracic surgeon na cardiologist. Mwingine ni medical treatment na mwingine ni surgical management. Mambo ya kujiita consultant si hata yule wa fiterawa anajiita bingwa wa vidonda vya tumbo? Hiyo ni kujipromote tu apate wateja. Na mfumo wa kusoma umetofautiana kwenye mambo ya lugha na internship. Kuna nchi watu wanasoma miaka sita ukijumlisha na mmoja wa lugha inayotumika na kuna nchi wanafanya internship miaka miwili. Five years rate ni sa

Kwa mfumo wa UK,daktari hawezi kujiita Consultant tu.Kuna vigezo vyake na shule nene kabla ya kupata hiyo title.Usijidanganye.Mfumo wakusoma haujatofautiana kwenye mambo ya lugha tu na internship.Ipo tofauti ya mitaala na aina ya cheti ambacho mtu anakipata baada ya kumaliza.
Ok cardiothoracic surgeon anachana na cardiologist anatibu kwa dawa.Naku challenge:Kwa uhaba wa specialists tulionao,cardiothoracic surgeon hawezi kutibu mgonjwa wa hypertension kwa kutumia walau hata elimu yake ya degree ya kwanza?Hawezi kusoma matokeo ya kipimo cha ECG cha mgonjwa mwenye maumivu kifuani on exertion na kumwambia kuwa una ischaemia?
Labda uniambie pia,cardiologist wa Tanzania anatibu nini hasa?
 
Back
Top Bottom