franktemu123
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 1,400
- 1,451
So, mi sishangai kuwa Dr. M-ponda mawe kuwa mbumbumbu ndo bongo yetu hiyo
Pale Elimu ndo upuuzi mtupu,sijui ilikuaje.. bora hata angekewa Sofia Chui wasomi wetu wangepata mipasho ya taarabu, jamani msifanye mchezo na elimu jamani watoto wetu wanataabika
Pale Elimu ndo upuuzi mtupu,sijui ilikuaje.. bora hata angekewa Sofia Chui wasomi wetu wangepata mipasho ya taarabu, jamani msifanye mchezo na elimu jamani watoto wetu wanataabika