Hii ndiyo CV ya Dk. Hadji Hussein Mponda

...ukifikiria sana kuhusu hii nchi unaweza kuumiza kichwa bure..kila kitu kinaendeshwa kiholela tu...hakuna anayejali...kama uraisi ndio kama huu wa jk basi hata mimi hapa nilipo ni raisi...
 
Nimepata kukutana na mtu wa type ya JK ambaye pia ni conservator wa Ngorongoro,inasemekana walisoma darasa moja hawa jamaa.

Swali langu ni je,mbona jamaa wengi sana waliosoma na Jk wana tabia zinazoendana? Au ilikuwa ni ka generation kalipita ka watu wa aina hiyo?

Kweli hata mimi nishakutana na mzee mmoja kusuni mwa Tanzania anatabia sawa sawa na hao wnzake wakina JK.Ilikuwa ni kizazi cha vilaaza
 
Dr Hadji Hussein Mponda profile.


First Name: Dr. Hadji
Middle Name: Hussein
... Last Name: Mponda
Member Type: Constituency Member
Constituent: Ulanga Magharibi
Political Party: CCM
Office Location: P.O. Box 9083, Dar Es Salaam
Office Phone: +255 783 003 635
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: hmponda@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 27 September 1958


EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Manda Chini Primary School Primary Education 1967 1970 PRIMARY
Nawenge Primary School Primary Education 1971 1973 PRIMARY
Minaki Secondary School O-Level Education 1974 1977 SECONDARY
Tosamaganga Secondary School A - Level Education 1978 1980 HIGH SCHOOL
Mzumbe University Business Management 1984 1987 ADV DIPLOMA
London Univeristy Public Health 2003 2004 MASTERS DEGREE
Mzumbe University Material Management - GRADUATE
London Univeristy Public Health 2007 2010 PHD


Nimekuwa najiuliza sana kuhusu huyu waziri wa afya na jinsi anavyohandle issues za wizara yake hasa mgomo wa madaktari nikaishia kupata CV yake hii.

Nadhani kuna haja wizara kuwa zinaongozwa na watu wenye taaluma husika pengine inaweza kusaidia kuondoa mitafaruku isiyo ya lazima na adha zinazowakumba wananchi......

kuongoza hakuna uhusiano na taaluma.
 
Ni ukweli kwamba Mponda amepewa madaraka makubwa ambayo hana uwezo nayo. Huyu ni mtu wa kuishia level ya wilaya. Mbaya zaidi hata naibu wake ni pumba tupu. Ukifika kwa Katibu wa Wizara huyo ni kichefuchefu!
 
Mbona hakuna work experience? hajawahi kuajriwa?


Dr Hadji Hussein Mponda profile.


First Name: Dr. Hadji
Middle Name: Hussein
... Last Name: Mponda
Member Type: Constituency Member
Constituent: Ulanga Magharibi
Political Party: CCM
Office Location: P.O. Box 9083, Dar Es Salaam
Office Phone: +255 783 003 635
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: hmponda@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 27 September 1958


EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Manda Chini Primary School Primary Education 1967 1970 PRIMARY
Nawenge Primary School Primary Education 1971 1973 PRIMARY
Minaki Secondary School O-Level Education 1974 1977 SECONDARY
Tosamaganga Secondary School A - Level Education 1978 1980 HIGH SCHOOL
Mzumbe University Business Management 1984 1987 ADV DIPLOMA
London Univeristy Public Health 2003 2004 MASTERS DEGREE
Mzumbe University Material Management - GRADUATE
London Univeristy Public Health 2007 2010 PHD


Nimekuwa najiuliza sana kuhusu huyu waziri wa afya na jinsi anavyohandle issues za wizara yake hasa mgomo wa madaktari nikaishia kupata CV yake hii.

Nadhani kuna haja wizara kuwa zinaongozwa na watu wenye taaluma husika pengine inaweza kusaidia kuondoa mitafaruku isiyo ya lazima na adha zinazowakumba wananchi......
 
Sio lazima mtu usomee udaktari ndo awe waziri wa afya cha muhimu ni uwajibikaji wa mtu mwenyewe na sio maswala ya kuangalia cv ya mtu ni upuzi.Kama unataka kuamini wa mweke magufuli hapo kama hapajakaa vizuri.Halafu kama haitoshi blandina ana fani ya uhasibu mbona yupo muda mrefu hapo wizarani na hawakumpigia kelele kasoro haya mambo ya maslahi wanayoyataka ndo wameanza kumpigia kelele kuwa hafai wa tz kwa maslahi hamjambo
 
Prof Mwakyusa David alikuwa waziri kwenye wizara hii kwa muda mrefu tu;things were far better than now?Sidhani kama kuwa na elimu kuhusu wizara husika ndiyo kutamfanya Waziri awe kiongozi bora bali ni moyo wa kuwatumikia wananchi tu ndiyo kitatuokoa watz kupata waziri bora!

Augustine Mrema anabaki kwangu ama Waziri wa pili bora kupata kutokea TZ(of course;Sokoine Moringe Edward is my # 1);Je Mrema alikuwa na elimu gani kipindi kile?
 
tatizo linakuja at an individual level na sio kwamba kasoma karibuni au yeye ni dr au sio dr, maana pia ikimweka dr kuna wengine ni senior kwake kitaaluma watasemaje? ukisha fika at a degree level ni kwamba umepewa nyenzo za kuweza kuchambua mambo , so ni wewe kutumia vipaji ulivyopewa kuweza kujua jema na baya na mwelekeo wa kwenda mbele. kuna vijana unaweza kukuta shule haikupanda lakini ana busara zake na anajua jema na baya na analisimamia, mwingine poor hair distribution (PHD) na bado anakosa msimamo na kuyumbishwa kama yoyo na mashakumpeta au mwanaume au mwana mke

Nyongeza: Aaron Chiduo (RIP) alifanya nini mara mbili zote alizokuwa Waziri? Mwakyusa (profesa, nasema profesa) alifanya nini miaka yote hiyo?

Lakini pia hata kama ni yeyote nadhani huyu wa sasa kazidiwa saaaana! Duh!
Hao walikuwa wakikosea kwa kujua, huyu anakosea kwa kutojua kabisaaaaa!
 
Aliyetoa hiyo CV ni mzushi. Dk Haji Mponda anajulikana kwa research na alikuwa Ifakara, kwenye research ya Malaria nadhani kama director na ukigoogle jina lake utaona publication zake.
 
Nimepata kukutana na mtu wa type ya JK ambaye pia ni conservator wa Ngorongoro,inasemekana walisoma darasa moja hawa jamaa.

Swali langu ni je,mbona jamaa wengi sana waliosoma na Jk wana tabia zinazoendana? Au ilikuwa ni ka generation kalipita ka watu wa aina hiyo?


Mwenye hii Education Background hapa chini anaitwa Jakaya Mrisho Kikwete.
1958-1961
Msoga Primary School
1962-1965
Lugoba Midle School
1966-1969
Kibaha Secondary School
1970-1971
Tanga Secondary School
1972-1975
UDSM (BA Economics)
1976-1977
Military Training at Tanzania Military Academy at Monduli
1983-1984
Military Leadership Training


Baba Collins anadai kwamba jamaa mwenye Education background ya hapo juu, amesoma darasa moja na jamaa mwenye education background hapa chini. Mwenye education background ya hapa chini anaitwa Hadji Mponda!!!
1967-1970
Manda Chini primary School
1971-1973
Nawenge Primary School
1974-1977
Minaki Secondary School ( O-Level)
1978-1980
Tosamaganga Secondary School (A-Level)
1984-1987
Mzumbe (Advanced Diploma)
2003-2004
London-Masterz
2007-2010
London-PhD.


NIMEAMINI kwamba JF is never boring!!!
 
Dr Hadji Hussein Mponda profile.


First Name: Dr. Hadji
Middle Name: Hussein
... Last Name: Mponda
Member Type: Constituency Member
Constituent: Ulanga Magharibi
Political Party: CCM
Office Location: P.O. Box 9083, Dar Es Salaam
Office Phone: +255 783 003 635
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: hmponda@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 27 September 1958


EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Manda Chini Primary School Primary Education 1967 1970 PRIMARY
Nawenge Primary School Primary Education 1971 1973 PRIMARY
Minaki Secondary School O-Level Education 1974 1977 SECONDARY
Tosamaganga Secondary School A - Level Education 1978 1980 HIGH SCHOOL
Mzumbe University Business Management 1984 1987 ADV DIPLOMA
London Univeristy Public Health 2003 2004 MASTERS DEGREE
Mzumbe University Material Management - GRADUATE
London Univeristy Public Health 2007 2010 PHD


Nimekuwa najiuliza sana kuhusu huyu waziri wa afya na jinsi anavyohandle issues za wizara yake hasa mgomo wa madaktari nikaishia kupata CV yake hii.

Nadhani kuna haja wizara kuwa zinaongozwa na watu wenye taaluma husika pengine inaweza kusaidia kuondoa mitafaruku isiyo ya lazima na adha zinazowakumba wananchi......


Kwa hili unakusuidia Mganga Mkuu? Hivyo kujuwa utaalamu kunahusisha pia na utaalamu wa kuongoza? Kwa akili yako Wizara ya Afya ina madaktari pekee???
 
Kwa Tanzania uwaziri na vyeo vingine vya kuteuliwa (ikiwamo ubungo wa viti maalumu eg.Vi- Kama taa) ni kulipa fadhila hali imekuwa dhahiri awamu hii ya 4
1. ngelejaaa ni fadhila kawekwa na Rosti-tamu(kumbuka alikuwa kule VO DA ambako ROSTI TAMU ana hisa kibao
2. kawa-mbwa ni binamu kabisaa wa K. J
3. Hawa Vurugu yeye ni ndugu wa Mama namba 1
4. Sophia Chui ilikuwa chakula ya K. J na mzee kitwana Kondoo allikula
5.Luku-vipi ni shosti wa siku nyingi wa KJ toka (UVCCM)
6.Si-6, Makufuli, Mwa-ndoo-syaa(wamewekwa kupotezea tu)
 
Back
Top Bottom