Hii ndiyo CV ya Dk. Hadji Hussein Mponda

JoJiPoJi

JF-Expert Member
Aug 8, 2009
2,907
3,261
Wadau kama kuna mtu mwenye cv ya waziri wa afya tafadhari atuwekee ili tuweze kujua, kwa kuwa kuna tetesi kuwa Mh. rais amedanganywa juu ya elimu ya huyu mh mponda
 
Wadau kama kuna mtu mwenye cv ya waziri wa afya tafadhari atuwekee ili tuweze kujua, kwa kuwa kuna tetesi kuwa Mh. rais amedanganywa juu ya elimu ya huyu mh mponda


sina CV yake yote but nimjuavyo..alikuwa mfanyakazi wa Ifakara Health Institute , na ana PhD aliyoipata hivi karibuni.......kwa miaka mitatu au minne iliyopita muda mrefu alikuwa akiuutumia kwenye utafiti wake vijiji vya Mtimbira Ulanga....kama kuna mashaka yoyote ni vema kuiona institution aliyokuwa akifanyia kazi kama nilivyoianisha hapo juu ili kupata uhakika wa mambo.

mix with yours
 
Nimejaribu kuitafuta kila kona sioni kama nitaipata
 
Nimefanya naye Kazi. Alianza na Adv. Diploma huko Mzumbe. Nafikiri alifanya Kazi Mbeya kabla ya kuja Ifakara ambako aliajiriwa kama Social Marketing Research Officer kwenye masuala ya matumizi ya neti za kuzuia mbu wa malaria. Alifanya kazi kwa juduhi kubwa na akafanikiwa kupata scholaship ya kwenda kufanya Masters chuo kikuu cha London (School of Hygiene and Tropical Medicine). Hiki chuo kinaheshimika sana kwenye masuala ya Afya na hasa magonjwa ya kitropiki. Nafikiri alimaliza Masters yake miaka ya 2004/5. Akabahatika kupata mradi wa watu wa UNICEF kwenye masuala hayo hayo ya kusambaza neti. Akatumia zile data kufanya PhD yake kwenye chuo hicho hicho za London na aliimaliza miezi michache kabla ya Kampeni za uchaguzi nchini Tanzania. Hivyo tunaweza kusema kwamba kwenye afya ameingia kama mtafiti na siyo daktari wa binadamu. Ni mchapa kazi mazuri ila kama mwanasiasa siwezi kusema maana sikuwahi hata kusikia opinion zake kuhusu masuala ya siasa!
 
Nimefanya naye Kazi. Alianza na Adv. Diploma huko Mzumbe. Nafikiri alifanya Kazi Mbeya kabla ya kuja Ifakara ambako aliajiriwa kama Social Marketing Research Officer kwenye masuala ya matumizi ya neti za kuzuia mbu wa malaria. Alifanya kazi kwa juduhi kubwa na akafanikiwa kupata scholaship ya kwenda kufanya Masters chuo kikuu cha London (School of Hygiene and Tropical Medicine). Hiki chuo kinaheshimika sana kwenye masuala ya Afya na hasa magonjwa ya kitropiki. Nafikiri alimaliza Masters yake miaka ya 2004/5. Akabahatika kupata mradi wa watu wa UNICEF kwenye masuala hayo hayo ya kusambaza neti. Akatumia zile data kufanya PhD yake kwenye chuo hicho hicho za London na aliimaliza miezi michache kabla ya Kampeni za uchaguzi nchini Tanzania. Hivyo tunaweza kusema kwamba kwenye afya ameingia kama mtafiti na siyo daktari wa binadamu. Ni mchapa kazi mazuri ila kama mwanasiasa siwezi kusema maana sikuwahi hata kusikia opinion zake kuhusu masuala ya siasa!

Mimi nafikiri ni vyema kwa mtoa mada aeleze wasiwasi wake ni nini ili watu wampe data au wamuondolee/wamthibitishie wasiwasi wake.
 
ni dhahiri jamaa ameungaunga,..lakini bongo lolote lawezekana!!
hivi huyu kumbe hana hata MD degree !! na watetezi msituletee habari za LSHTM hapa!
 
ni dhahiri jamaa ameungaunga,..lakini bongo lolote lawezekana!!
hivi huyu kumbe hana hata MD degree !! na watetezi msituletee habari za LSHTM hapa!

Hivi kwani ni lazima uwe na MD ndo uwe waziri wa afya? Hapo kwenye red sijakuelewa. Kwani LSHTM ina tataizo gani?
 
Wadau kama kuna mtu mwenye cv ya waziri wa afya tafadhari atuwekee ili tuweze kujua, kwa kuwa kuna tetesi kuwa Mh. rais amedanganywa juu ya elimu ya huyu mh mponda

Ungekieleza hicho ambacho Rais amedanganywa ndo ungeweza kupata data vizuri...hapa maelezo yako yapo too general
 
mtoa mada mwenyewe hajui anachokiuliza. Nani kakuambia Mh. Rais alidanganywa. na alidanganywa nini.
 
Mbona Prof Sarungi alikuwa na MD lakini alishindwa hiyo wizara?Kitu muhimu ni utendaji kazi na ufatiliaji wa mambo ktk wizara husika unayoongoza.
 
Dr Hadji Hussein Mponda profile.


First Name: Dr. Hadji
Middle Name: Hussein
... Last Name: Mponda
Member Type: Constituency Member
Constituent: Ulanga Magharibi
Political Party: CCM
Office Location: P.O. Box 9083, Dar Es Salaam
Office Phone: +255 783 003 635
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: hmponda@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 27 September 1958


EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Manda Chini Primary School Primary Education 1967 1970 PRIMARY
Nawenge Primary School Primary Education 1971 1973 PRIMARY
Minaki Secondary School O-Level Education 1974 1977 SECONDARY
Tosamaganga Secondary School A - Level Education 1978 1980 HIGH SCHOOL
Mzumbe University Business Management 1984 1987 ADV DIPLOMA
London Univeristy Public Health 2003 2004 MASTERS DEGREE
Mzumbe University Material Management - GRADUATE
London Univeristy Public Health 2007 2010 PHD


Nimekuwa najiuliza sana kuhusu huyu waziri wa afya na jinsi anavyohandle issues za wizara yake hasa mgomo wa madaktari nikaishia kupata CV yake hii.

Nadhani kuna haja wizara kuwa zinaongozwa na watu wenye taaluma husika pengine inaweza kusaidia kuondoa mitafaruku isiyo ya lazima na adha zinazowakumba wananchi......
 
Yani JK ni mtu wa ajabu sana kule wizara ya ng'ombe,mbuzi,kondoo na samaki aka vitoweo kawapa mtu wa fani ya udaktari wa mifugo...huku kwetu sisi wanyama aina ya binadamu katupa mtu wa business management mara sijui material management na public health. Inakera sana
 
nimepata kukutana na mtu wa type ya jk ambaye pia ni conservator wa ngorongoro,inasemekana walisoma darasa moja hawa jamaa.

swali langu ni je,mbona jamaa wengi sana waliosoma na jk wana tabia zinazoendana? au ilikuwa ni ka generation kalipita ka watu wa aina hiyo?

inabidi tumsake mwalimu aliyewafundisha na mpishi aliyekuwa anawapikia chakula shuleni
 
tatizo linakuja at an individual level na sio kwamba kasoma karibuni au yeye ni dr au sio dr, maana pia ikimweka dr kuna wengine ni senior kwake kitaaluma watasemaje? ukisha fika at a degree level ni kwamba umepewa nyenzo za kuweza kuchambua mambo , so ni wewe kutumia vipaji ulivyopewa kuweza kujua jema na baya na mwelekeo wa kwenda mbele. kuna vijana unaweza kukuta shule haikupanda lakini ana busara zake na anajua jema na baya na analisimamia, mwingine poor hair distribution (PHD) na bado anakosa msimamo na kuyumbishwa kama yoyo na mashakumpeta au mwanaume au mwana mke
 
Back
Top Bottom