nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
baada ya kuusoma na kuuelewa mswada wa marekebisho ya katiba nimegundua kwa nini ccm wanapigana sana vikumbo kwa ajili ya urais 2015,.sababu ni rahisi tu kuijua;kwa mswada huu ambao ni kama katiba itabaki vilevile kama ya zamani sababu wabunge wa ccm ni wengi bungeni hvyo itakuwa sheria,..ni dhahiri ccm watajitwalia tena nchi kimabavu kwa kutumia katiba mbovu..2015 vita ni kama haiepukiki...nchi inaelekea kubaya kwa uroho wa madaraka wa ccm..nanoa panga langu for self defense,..noa lako ujilinde...