Rebel volcano
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 403
- 86
unapiga bao moja unalala,mwenzako mpaka alale anataka kwa uchache bao 3 hapo sasa!!!
hata kama ya bongo movies hapa nipo kwa kuenjoy zaidi,wenye jazba kama wewe wakifika miaka 35 huota mvi mpaka chini ya mgongoHivi lini tutapata akili ya kuelewa mambo? Alikwambia nani mwanamke anaridhika kwa wingi wa mabao uliyopiga wewe?
Hivi ukipiga 7 yeye bila atakuwa ndio amefikishwa au? Mnachosha miili kwa kudhania kumwagamwaga ndio uanaume kiasi ukifikia miaka 45 hamna kitu nguvu kwisha. Kufanya sana sio ndio tija.
Halafu sioni uhusiano wa ulichoandika na hiyo picha ya Nigeria movies
hata kama ya bongo movies hapa nipo kwa kuenjoy zaidi,wenye jazba kama wewe wakifika miaka 35 huota mvi mpaka chini ya mgongo
Mwana Mtoka Pabaya.Hivi lini tutapata akili ya kuelewa mambo? Alikwambia nani mwanamke anaridhika kwa wingi wa mabao uliyopiga wewe?
Hivi ukipiga 7 yeye bila atakuwa ndio amefikishwa au? Mnachosha miili kwa kudhania kumwagamwaga ndio uanaume kiasi ukifikia miaka 45 hamna kitu nguvu kwisha. Kufanya sana sio ndio tija.
Halafu sioni uhusiano wa ulichoandika na hiyo picha ya Nigeria movies
Hivi lini tutapata akili ya kuelewa mambo? Alikwambia nani mwanamke anaridhika kwa wingi wa mabao uliyopiga wewe?
Hivi ukipiga 7 yeye bila atakuwa ndio amefikishwa au? Mnachosha miili kwa kudhania kumwagamwaga ndio uanaume kiasi ukifikia miaka 45 hamna kitu nguvu kwisha. Kufanya sana sio ndio tija.
Halafu sioni uhusiano wa ulichoandika na hiyo picha ya Nigeria movies