Ndugu Zangu,
Serikali imetoa rasimu ya MKUKUTA kwaajili ya kupata maoni ya wadau. Tumia link ifuatayo uweze kupata nakala yako kama ungependa kuchangia mawazo (http://www.policyforum-tz.org/files/MKUKUTAIIzeroDraft.pdf)
Policy forum wanafanya mchakato wa kukusanya maoni haya kwahiyo kwa watakaopenda kupeleka maoni ya kina kwa maandishi unaweza kufanya hivyo kwa kuwatumia kwenye email ya policy forum info@policyforum.or.tz
Mwisho wa kutuma maoni ni tarehe 15 Mei Mwaka huu ili maoni yawafikie waandishi wa MKUKUTA na Sekeretariat ya MKUKUTA
Karibuni tujadili and kuepika mustakabali wa Tanzania.
Serikali imetoa rasimu ya MKUKUTA kwaajili ya kupata maoni ya wadau. Tumia link ifuatayo uweze kupata nakala yako kama ungependa kuchangia mawazo (http://www.policyforum-tz.org/files/MKUKUTAIIzeroDraft.pdf)
Policy forum wanafanya mchakato wa kukusanya maoni haya kwahiyo kwa watakaopenda kupeleka maoni ya kina kwa maandishi unaweza kufanya hivyo kwa kuwatumia kwenye email ya policy forum info@policyforum.or.tz
Mwisho wa kutuma maoni ni tarehe 15 Mei Mwaka huu ili maoni yawafikie waandishi wa MKUKUTA na Sekeretariat ya MKUKUTA
Karibuni tujadili and kuepika mustakabali wa Tanzania.