Tetesi: Hii ndio kazi inayofuata atakayopewa Makonda na Rais Magufuli

Data na Biti

Member
Apr 4, 2011
40
13
At finally, baada ya kufanya kazi usiku na mchana za maendeleo alizokua akizipiga Mh DC licha ya watu kumkejeli mara muuza sura, mara anajipendekeza, mara mtovu wa nidhamu lakini kwa hayo yote mwisho ameweza kuonekana kwa utendaji kazi wake na kumgusa, kumdatisha au ama si kumkuna mzee wa #HapaKaziTu...

Je, unaweza kupredict ni kazi gani inayofata inayomfiti na anayoweza kupewa kwa kuongezewa cheo Mkuu wa wilaya ya Kinondoni baada ya hii ya uDC baada ya Mh JPM kuridhika na utendaji wake kazi na kumhakikishia kuwa yeye sio Jipu na anaendana na kasi yake na kustahili kula shavu lingine sehemu yoyote..

1. Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam (RC) au moja ya mikoa mingine.

2. Mkurungenzi Mtendaji wa moja ya Taasisi za serikali (Director General/CEO/Managing Director/...)

3. Mwenyekiti wa Bodi katika moja ya Taasisi ya Serikali (Board Chairman...)

4. Balozi (Ambasador/ High Commissioner....)

5. Waziri au Naibu waziri...(Minister/Deputy Minister..)

6....
 
Magufulu anaweza kufanya upuuzi wo wote kuhusu Makonda na wako wakmmshangilia
 
Kabla sijakujibu weka hapa cv ya mhe. Makonda.

Nape, Makonda, Mapunda, Sadifu, Makamba, Nchemba na wengineo - ccm's young elite cast in situ politicians. Kwa taaifa tu.
 
Kabla sijakujibu weka hapa cv ya mhe. Makonda.

Nape, Makonda, Mapunda, Sadifu, Makamba, Nchemba na wengineo - ccm's young elite cast in situ politicians. Kwa taaifa tu.
CV yake ipi?
Haya anayoyafanya Dar ndio CV yake ya kisiasa!
Au unataka kuona achievements za darasani ndio u judge uwezo wake wa kisiasa?
Nadhani hiyo issue ya academic haina maana sana kwa sasa!
 
kazi ya kufunga kwamba za viatu amuachie nani?
Mimi naomba apelekwe mkoa wa dodoma ili uchukuliwe na wapinzani maana kapewa kinondoni ilikuwa haijawahi kuongozwa na upinzani lkn chini ya uongozi wake kinondoni sasa ipo chini ya upinzani full
 
At finally, baada ya kufanya kazi usiku na mchana za maendeleo alizokua akizipiga Mh DC licha ya watu kumkejeli mara muuza sura, mara anajipendekeza , mara mtovu wa nidhamu lakini kwa hayo yote mwisho ameweza kuonekana kwa utendaji kazi wake na kumgusa au kama si kumkuna mzee wa #HapaKaziTu...
Je unaweza kupredict ni kazi gani inayofata anayoweza kupewa au kwa kuongezewa cheo Mkuu wa wilaya ya kindondoni baada ya hii ya uDC baada ya Mh JPM kuridhika na utendaji wake kazi na kumhakikishia kuwa yeye sio Jipu na anaendana na kasi yake..

1. Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam (RC) au moja ya mikoa mingine
2. Mkurungenzi Mtendaji wa moja ya Taasisi za serikali (Director General/CEO/Managing Director/...)
3. Mwenyekiti wa Bodi katika moja ya Taasisi ya Serikali (Board Chairman...)
4. Balozi (Ambasador/ High Commissioner....)
5. Waziri au Naibu waziri...(Minister/Deputy Minister..)
6....

Ongezea na yako...
Ataendelea kuwa mkuu wa wilaya
 
Ni majukumu tu sema jpm amempa sifa coz yupo mjini hapo ampeleke nanjilinji aone kama kuna ishu atafanya ni kwamba mazingira aliyopo makonda ni reasonable hata mimi au wewe naweza ku-perform coz all resources are there
 
Back
Top Bottom