Bora wajisomee kwani wanajua ni nini kimewaleta, maana Walimu wanachogomea hata sikijui kwani Sensa wamelilia na posho wamevuta.
Wakati nipo Chuo wako waliokuwa wakinywa chakali na Paper wanapiga kisawasawa, hata madr wengine lazima wanywe ili kujizimua
Kweli ni makosa kuingia na chupa tupu yenye nembo ya kinywaji unaweza mpiga nayo mwenzake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.