Hii ndio depression au nini wandugu

...umekwenda deep! Maisha yanatufundisha ku shove - unsolved problems - away!
The 'best remedy' is to pluck it out, solve and put an end to it!...
Kinyume na hapo tunaendelea kujidanganya kitamalizika chenyewe,...
Circle ikimalizika, stress zinarudi pale pale.


exactly but
gaga haelewi kabisa
 
...umekwenda deep! Maisha yanatufundisha ku shove - unsolved problems - away!
The 'best remedy' is to pluck it out, solve and put an end to it!...
Kinyume na hapo tunaendelea kujidanganya kitamalizika chenyewe,...
Circle ikimalizika, stress zinarudi pale pale.
Kweli mkuu yaani hapa mimi i am broke kwahiyo nina hasira kweli
 
Hiyo siyo depression ni apprehension na inatokana na weakness katika mambo fulani, either kuna vitu unataka kufanya lakini unashindwa. Kwa haraka haraka ningekushauri uangalia mahusiano yako ya kimapenzi, kifamilia na kazini.
 
Aiseee imenibidi nicheke tu maana sijawahi sikia[/QUO
Watu wa majuu bwana mtu akianza kunywa bia kumi kwa siku tayari anapelekwa rehab wakati bongo mtu anakata hata ishirini kila siku na yuko fiti na kazini anaenda. kweli ulaya hamnazo
 
Mi hii inanitokeaga sana, ila tiba yangu ktk hilo ni Maombi na kuimba/kusikiliza nyimbo za kuabudu na kumsifu Mungu. Kutulia kabisa manake nikijifanya kuongea ongea naweza nikamjibu mtu ndivyo sivyo. Baada ya muda hali inaondoka na ninaweza kupata jibu sahihi la kwa nn nilikuwa najisikia vile. Pasaka njema Wapendwa.
 
kama una bad memory za utotoni usifanye mzaha
hospitali ya tumaini upanga wanae specialist
Huwezi amini halafu aliye niabuse alifariki majuzi kwenye msiba badala ya kuhuzunika nilikuwa nafurahi
 
Mi hii inanitokeaga sana, ila tiba yangu ktk hilo ni Maombi na kuimba/kusikiliza nyimbo za kuabudu na kumsifu Mungu. Kutulia kabisa manake nikijifanya kuongea ongea naweza nikamjibu mtu ndivyo sivyo. Baada ya muda hali inaondoka na ninaweza kupata jibu sahihi la kwa nn nilikuwa najisikia vile. Pasaka njema Wapendwa.
Yaani we acha tu badala ya kujiona upo ndani ya nyumba unahisi kama umeibeba nyumba
 
Utotoni....kilikuwepo, a trauma ..... , bad memory zipo na zitaendelea kuwepo, kwanini maumivu yasijisome nijue nateseka na nini?

Unsolved business...NOT GOOD!Fanyia kazi umalizane na ya kale...kuyazika hakuyamalizi!
 
...umekwenda deep! Maisha yanatufundisha ku shove - unsolved problems - away!
The 'best remedy' is to pluck it out, solve and put an end to it!...
Kinyume na hapo tunaendelea kujidanganya kitamalizika chenyewe,...
Circle ikimalizika, stress zinarudi pale pale.
Mbu bana! thanx kwa ushauri wako
 
Huwezi amini halafu aliye niabuse alifariki majuzi kwenye msiba badala ya kuhuzunika nilikuwa nafurahi

basi hilo ndo main tatizo lako
haliwezi kuisha mpaka ukutane na mtaalam wa saikolojia...
 
Back
Top Bottom