Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Soma tena hiyo post usikurupuke kukosoa!
TandaleOne ndugu Nnauye Jr pale mzumbe amesoma mara moja au mbili? Ninavyofahamu mimi na niko shule unapoma Master Dessertation yako inatakiwa ufanye kwenye "elective modules" ulizochagua mfano kama alichagua say "Human Resources" angefanya kwenye hiyo eneo au kama ni "Marketing" angefanya kwenye hilo eneo. Labda kama elective yake ilikuwa ni "Political science" kitu ambacho sina uhakika kama inalandana na "Business Administration"
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ahaaaaaaa unatafuta aibu wewe, kwa taarifa yako nina first class with honor.....na sijasoma BBA ya jioni na wala siajaunga unga. weka ya kwako ya kupewa zawadi ya c...hu....p
Umeandika vitabu vingapi vinavyoheshimika,au ndo walewale wenye vyeti lakin hawana efficiency ya kudeliver
 
Naona elimu yake haijamsaidia kitu sana sana imemuongezea ujinga na kutoa maneno machafu kwa wakubwa zake, ukimuangalia tu Nape uanjua ni mtu wa "fix."
 
Atakuwa alisomea ualimu wa shule ya msingi, afu akaunga unga setifiketi mara akaangukia India kusoma digrii
Ujue sasa hivi ukiwa na setifikate 3 ni sawa na digrii moja, kimjinimjini lakini

Afu utachukuaje kombi ya somo ulilopata F, maana matokeo yanasema B/Math alipata F

Kama kuna mada ambayo Nape kashikwa pabaya ni hii ya elimu,Magamba wenzie sasa hivi wanachekelea jamaa anavyosulubiwa na wadau mpaka tujue mbivu na mbichi.BTW kwa nini huyu jamaa huwa anaazisha mijadala ambayo anajua fika hawezi kuhimili kibao kinapogeuziwa upande wake?
 
Mie sred ikishaanza Na Uongo huwa siisomi. Sema Nape Nauye SIO Nape MOSES Nauye, Ukishaweka Moses umeshaharibu Jina unambatiza Kama Mtoto Wa Bregedia Moses Nauye kitu ambacho SIO kweli.. Anaitwa Nape Nauye Jina la kati analijua Yeye so HAPO REKEBISHENI SANA SANA CHONDE Msijeleta Taftani Na Familia ya our late Bregedia Generali Moses..
 
Hivi alipataje qualification ya kufanya huo mtihani wa form VI Butimba?? tena Economics Geography na Maths, wakati O level alipata points 29, tena hakuwa na credit hata moja, na mbaya zaidi Basic Maths alipata F?
 
Baada ya kufail akasoma akarudia Butimba TTC Center akafanya kama private candidate.
Licha ya hivyo alifail tena.
 
MMh, Butimba TTC ilikuwa na high school? Hakikuwa chuo cha ualimu kile??
Anyway, hata uwe na Phd kama hamnazo za maisha hazimo tu.

Hii nchi imekaa kama kuti kavu...badala ya kujitahidi kuonyesha tunafanya nini kupeleka gurudumu la maendeleo mbele, tumekazana kuandaa Cv kwa wapiga kura tukijinadi kama ni wasomi....wasomi wenye vyeti ila hatujaelimika.
 
Matokeo ya Nape Nnauye ya Ordinary level secondary education ni Division TWO..,kwa anayetaka kujiridhisha anaweza ku-google mwenyewe NECTA matokeo ya Nsumba Secondary 1997. na hata kwa matokeo mengine pia ambayo Ni ya ndani ya Nchi na kuhusu matokeo ya chuo cha bangalore nayo yapo TCU.,ni jambo la kuuliza na kujibiwa.


Matokeo ya Nsumba umeyaweka na ya Butimba TCC yako wapi sasa maana tumekosa Secondary inayoitwa ivo.
Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC (Nimesoma Mwanza kuanzia Primary,secondary,advanced level,BA na MA na kazi nipo Mza nakuhakikishia hakuna shule inayoitwa BUTIMBA TCC yenye Advanced Level kuna Butimba Secondary yenye O-Level pekee kaka nendeni mka edit CV yenu)
 
nape bado anatuma vibaraka kuja kumtetea,kweli magamba hamnazo!
Butimba ttc ndio imeniacha hoi kabisa.
 
Kuna kipindi unafika unawashangaa watu hapa Jamvini habari wanazotaka ni kusifia CHADEMA tu ukikosoa utapachikwa majina ya ajabu ajabu.Mleta mada kaomba CV za wabunge wa CHADEMA kama unajua unatuambia kama hujui unakaa kimya.

Mkuu wangu CV ya Godbless Lema ni ya hovyo kuliko nilivyofikiri mwanzo.Jamaa alishindwa kufaulu mtihani wa form II kuingia form III.Ana cheti cha lugha ya kiingereza miezi 3 KIMAHAMA mkabala na Golden Rose.Mkuu mambo mengine labda ajiendeleze baada ya kuwa mheshimiwa kazi hii namwachia kamanda PakaJimmy anaweza kumshauri.

Acha uongo, mleta mada hajaomba Cv ya wabunge wa CHADEMA, ametuletea CV ya NAPE yenye maswali mengi kuliko majibu, umeshaianza weekend nini!??
 
MMh, Butimba TTC ilikuwa na high school? Hakikuwa chuo cha ualimu kile??
Anyway, hata uwe na Phd kama hamnazo za maisha hazimo tu.

Nimesoma primary pale hakuna High school wala mchepu wa EGM, mpaka sasa kuna primary, butimba day sec na chuo. ( hakuna kitu pale ni uhuni tu na diploma za mwaka 1 hizi mmmh! ) na anaonekana hana akili/ mkorofi siku nying yan kila level atulii shule moja sijui kuama/ kufukuzwa......

Copy to Tandaleone.
 
Nawashangaa sana, kutwa kujirundikia elimu zisizowasaidia


Afu TTC ilikuwa chuo cha ualimu, uchakachuaji at work

Hii nchi imekaa kama kuti kavu...badala ya kujitahidi kuonyesha tunafanya nini kupeleka gurudumu la maendeleo mbele, tumekazana kuandaa Cv kwa wapiga kura tukijinadi kama ni wasomi....wasomi wenye vyeti ila hatujaelimika.
 
37 Reactions
Reply
Back
Top Bottom