grand-mal
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 337
- 176
Sema hakuwa na vigezo vya kumfanya aende A level, na sijui nani alimruhusu kufanya mtihani wa A level akiwa na div. four ya 29 maana yake hakuwa na credits za kumwezesha kufanya mtihani wa A level, ilikuwaje, hapa ndio wanajukwaa tunaomba ufafanuzi.BUTIMBA TTC ni chuo cha ualimu lakini ni center ya kufanyia mitihani kwa wanafunzi ambao hawako mashuleni.,na hili ni kwa sababu Mheshimiwa Nape hakuwa ameendelea na sekondari kwa mtindo wa Boarding School.,kwa kuwa hakupenda kuendelea kukaa boardingi hivyo aliyasoma masomo yake ya high level akiwa nyumbani na kisha kwenda chuoni hapo kufanya mtihani wa form six.
Ututoe wasiwasi wa kubebwa. Na hizo diploma zake za mwaka mmoja mmoja, kweli mwaka mmoja unakuwa darasani na kuandika thesis upate diploma? Du Tanzania ni zaidi ya maajabu mengi ya dunia. Naomba ufafanuzi