Mwanahisa JF-Expert Member Jun 29, 2012 1,382 510 Oct 25, 2012 #3 Maumivi yakizidi muone daktari! poleeee!
Adrian Stepp JF-Expert Member Jul 1, 2011 2,764 2,581 Oct 25, 2012 #4 Ndallo said: Click to expand... kwahiyo Boflo kaumia kibubu chake?? ngongingo (kibubu) hoiii Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
R Rutakyamilwa JF-Expert Member Feb 27, 2009 1,872 1,235 Oct 25, 2012 #5 Ndallo said: Click to expand... Duniani kuna mambo!
Boflo JF-Expert Member Jan 20, 2010 4,384 4,409 Oct 25, 2012 #6 Hahaha Ndallo kwanza nilidhani magic, kumbe katuwa jua ya ice, hii ya mwaka mkuu Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
golwebo_mkuu JF-Expert Member Mar 31, 2011 2,271 688 Oct 25, 2012 #7 daa, huo ni urembo au barafu? nahis ni urembo maana barafu tusingeona maji yanacheza
TUKUTUKU JF-Expert Member Sep 14, 2010 11,765 4,033 Oct 25, 2012 #8 Duh!kweli ving'aavyo vyote si dhahabu!
stineriga JF-Expert Member Jun 20, 2012 2,172 886 Oct 25, 2012 #11 hahahahahaha umenikumbusha kuna jamaa nilimuwekea pasi ya baridi mgongoni, japo basi ilikuwa ni ya baridi, jamaa aliruka sana na kujua nimemuunguza!!
hahahahahaha umenikumbusha kuna jamaa nilimuwekea pasi ya baridi mgongoni, japo basi ilikuwa ni ya baridi, jamaa aliruka sana na kujua nimemuunguza!!