The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Siku hizi ukisikiliza radio za fm,utagundua jambo moja..
kwamba radio karibu zote zimeaajiri mashangingi kwa
ajili ya kuendesha vipindi hasa mchana......
mwanzo ilikuwa radio moja tu.sasa ni zote
mpaka TBC Taifa nao,
yaaani mashangingi na ushangingi kwenye airwave
zote mchana,na muziki unaotawala ni taarabu tu,
as if wasikilizaji wao wote tunaishi Mwananyamala na Magomeni....
na wote labda ni wamama wa nyumbani........
najiuliza hivi hizi radio za fm zikiajiri decent women kuendesha
vipindi vyao vitakosa wasikilizaji????
so ushangingi sasa ni taaluma rasmi na ndio popular culture
hapa TZ hasa Dar???
halafu main topic ya vipindi hivyo ni taarabu,kurushana roho,mbinu
za kukamata mabwana na kadhalika...yaani ushangingi full...
wako wapi decent women ambao wanaweza ku insipire
wanawake kuwa more independent na kupendana badala ya
ku promoti vijembe na rusha roho culture kila siku?????
hivi wasichana waliosoma seminary mfano wanaweza kweli kuajiriwa
kwenye radio hizi??au ndio kuwa decent na kujiheshimu ndo imekuwa
ushamba these days????
mara sjui mcharuko,yaliyomo yamo,mitikisiko ya pwani na kadhalika
ili mradi ushangingi umekuwa mainstreem culture naona........
kwamba radio karibu zote zimeaajiri mashangingi kwa
ajili ya kuendesha vipindi hasa mchana......
mwanzo ilikuwa radio moja tu.sasa ni zote
mpaka TBC Taifa nao,
yaaani mashangingi na ushangingi kwenye airwave
zote mchana,na muziki unaotawala ni taarabu tu,
as if wasikilizaji wao wote tunaishi Mwananyamala na Magomeni....
na wote labda ni wamama wa nyumbani........
najiuliza hivi hizi radio za fm zikiajiri decent women kuendesha
vipindi vyao vitakosa wasikilizaji????
so ushangingi sasa ni taaluma rasmi na ndio popular culture
hapa TZ hasa Dar???
halafu main topic ya vipindi hivyo ni taarabu,kurushana roho,mbinu
za kukamata mabwana na kadhalika...yaani ushangingi full...
wako wapi decent women ambao wanaweza ku insipire
wanawake kuwa more independent na kupendana badala ya
ku promoti vijembe na rusha roho culture kila siku?????
hivi wasichana waliosoma seminary mfano wanaweza kweli kuajiriwa
kwenye radio hizi??au ndio kuwa decent na kujiheshimu ndo imekuwa
ushamba these days????
mara sjui mcharuko,yaliyomo yamo,mitikisiko ya pwani na kadhalika
ili mradi ushangingi umekuwa mainstreem culture naona........