Nambe
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 1,451
- 528
eeeeer hao ndio wanaume lol........sasa si sawa na kukwambia uende kha...........
Mmh.. Jamani wanaume!! Huyu wangu amekuwa mkweli kaniambia nisiwaze suala la ndoa.. Kama nataka kuishi kwake niende muda wowote lakini mambo ya chereko chereko hataki kusikia...!