Wana JF nina swali linaloniumiza kichwa sana hapa...hii mnafahamu ni nani aliyeanzisha ideas hizi 2
1) Rais kuchangiwa kuchukua fomu
2) Kutangaza nia ya kugombea mwaka 2010
Rais kuchangiwa fedha kwangu mimi naona haya mambo hayana maana .....kama kundi la watu linadhani kuwa JK anafaa basi wasubiri kumpigia kura October....dhana ya michango huja pale ambapo mtu anahitaji kusaidiwa ili afanikishe suala fulani. Je ni kweli JK hana hela iyo....kumchangia huku unajua kuwa ana uwezo si unafiki huo??? si gia za wanaofacilitate kukumbukwa JK akipita October hata kama hawana uwezo wa kuongoza? Je rais kama mwanadamu hataweza kuwapendelea hawa waliomchangia kwa mfano UDOM nakuwaacha UDSM au SUA kwa sababu hawakumchangia? MIMI NINGEKUWA JK NINGEKATAA KUTOKA SIKU YA KWANZA WAZO LA KUCHANGIWA KWA SABABU LINAWEZA KUKUWEKA KARIBU NA
WANAFIKI ZAIDI KULIKO WATU WENYE UPEO. NINGESHAURI WATU WOTE WANAONIUNGA MKONO WAJITOKEZE KUPIGA KURA NA HIZO FEDHA WAZIPELEKE KWENYE CHARITY ORGANIZATIONS AMBAKO NDIO HALISI WANAHITAJI MICHANGO
Suala la kutangaza nia halionyeshi ubaya ukiliangalia juu....lakini ukifakari kwa undani unagundua kuwa kuchafuka kwa hali ya hewa kwingi kumeletwa na watangaza nia....watu hawa na wapambe wao wameacha shughuli zao za msingi na kukalia kutangaza nia....wamesababisha tension kubwa kwa wabunge wetu hata bunge la bajeti sasa limegeuka mahali pa wabunge wa sasa kutolea machungu yao dhidi ya hao watu...tension kila mahali....kamati zinaundwa kujadili migogoro hii WATU WANAACHA KAZI ZA MSINGI WANA DEAL NA WATANGAZA NIA
katika nchi maskini kama hii baadhi ya taratibu kama hizi lazima zichunguzwe madhara yake kabla ya kuziweka....siasa ni chakula....jamani kama wagombea ubunge wangesubiri tu July wakachukua fomu ingekuwaje? Na ninani mwanzilishi wa ideas hizi?
Mix with yours
1) Rais kuchangiwa kuchukua fomu
2) Kutangaza nia ya kugombea mwaka 2010
Rais kuchangiwa fedha kwangu mimi naona haya mambo hayana maana .....kama kundi la watu linadhani kuwa JK anafaa basi wasubiri kumpigia kura October....dhana ya michango huja pale ambapo mtu anahitaji kusaidiwa ili afanikishe suala fulani. Je ni kweli JK hana hela iyo....kumchangia huku unajua kuwa ana uwezo si unafiki huo??? si gia za wanaofacilitate kukumbukwa JK akipita October hata kama hawana uwezo wa kuongoza? Je rais kama mwanadamu hataweza kuwapendelea hawa waliomchangia kwa mfano UDOM nakuwaacha UDSM au SUA kwa sababu hawakumchangia? MIMI NINGEKUWA JK NINGEKATAA KUTOKA SIKU YA KWANZA WAZO LA KUCHANGIWA KWA SABABU LINAWEZA KUKUWEKA KARIBU NA
WANAFIKI ZAIDI KULIKO WATU WENYE UPEO. NINGESHAURI WATU WOTE WANAONIUNGA MKONO WAJITOKEZE KUPIGA KURA NA HIZO FEDHA WAZIPELEKE KWENYE CHARITY ORGANIZATIONS AMBAKO NDIO HALISI WANAHITAJI MICHANGO
Suala la kutangaza nia halionyeshi ubaya ukiliangalia juu....lakini ukifakari kwa undani unagundua kuwa kuchafuka kwa hali ya hewa kwingi kumeletwa na watangaza nia....watu hawa na wapambe wao wameacha shughuli zao za msingi na kukalia kutangaza nia....wamesababisha tension kubwa kwa wabunge wetu hata bunge la bajeti sasa limegeuka mahali pa wabunge wa sasa kutolea machungu yao dhidi ya hao watu...tension kila mahali....kamati zinaundwa kujadili migogoro hii WATU WANAACHA KAZI ZA MSINGI WANA DEAL NA WATANGAZA NIA
katika nchi maskini kama hii baadhi ya taratibu kama hizi lazima zichunguzwe madhara yake kabla ya kuziweka....siasa ni chakula....jamani kama wagombea ubunge wangesubiri tu July wakachukua fomu ingekuwaje? Na ninani mwanzilishi wa ideas hizi?
Mix with yours