Kwanza Moderm hiyo hawatoi internet bure,ni kwamba kwa kpindi cha miezi sita ya kwanza ukinunua bundle kwa kupitia *154*44# ila ukitumia njia ya zamani yaani kwa kuandika neno Internet na kuisend 15444 nackia zinagoma.na ili upewe bundle unatakiwa ununue angalau 1Gb(kama sijakosea) ndo wao wanakuongezea mb 200,usije ukanunua ukadhani utakuwa unaogelea kwenye unlimited Acces,Watch Out
Dah! Kweli wajinga ndo
tuliwao.nimeuliza geita na mwanza bei ni sh 55000.sasa sijui kwanini
wanatangaza kwa bei hiyo ya elfu 30000.