Jaman kuna m2 leo kaniletea kadi nimchangie 15000 kwa ajili ya graduation ya darasa la 7 ya mwanae, ikifika harusi je itakuwaje?
Harusi ya huyo mtoto au ya aliekuletea kadi au yako wewe?
Funguka.
mie leo nimepewa kali ya mwaka. Kuna binamu yangu aliniambia last month kuwa bintiye anapata kipaimara. Nikamuambia poa. Leo ananiambia unajua wewe ndio Godmother wake? Kidogo nizimie. Manake hapo kuna blackmail ya kununua nguo ya mtoto (traditionally ndo inakuwaga kazi ya godmother), na bado kwenda manake anakaa mbali karibia na mbinguni! Nimechoka manake kiddo mwenyewe sijawahi kummeet, naskia alibatizwa hospitali ati nikaandikwa mie!Jaman kuna m2 leo kaniletea kadi nimchangie 15000 kwa ajili ya graduation ya darasa la 7 ya mwanae, ikifika harusi je itakuwaje?
mie leo nimepewa kali ya mwaka. Kuna binamu yangu aliniambia last month kuwa bintiye anapata kipaimara. Nikamuambia poa. Leo ananiambia unajua wewe ndio Godmother wake? Kidogo nizimie. Manake hapo kuna blackmail ya kununua nguo ya mtoto (traditionally ndo inakuwaga kazi ya godmother), na bado kwenda manake anakaa mbali karibia na mbinguni! Nimechoka manake kiddo mwenyewe sijawahi kummeet, naskia alibatizwa hospitali ati nikaandikwa mie!
limenigandaje?unalo hilo!
Toa huo mchango!
mie leo nimepewa kali ya mwaka. Kuna binamu yangu aliniambia last month kuwa bintiye anapata kipaimara. Nikamuambia poa. Leo ananiambia unajua wewe ndio Godmother wake? Kidogo nizimie. Manake hapo kuna blackmail ya kununua nguo ya mtoto (traditionally ndo inakuwaga kazi ya godmother), na bado kwenda manake anakaa mbali karibia na mbinguni! Nimechoka manake kiddo mwenyewe sijawahi kummeet, naskia alibatizwa hospitali ati nikaandikwa mie!
utu uzima dawa.. usikwepe majukum
Me leo nimeletewa kadi eti nimchangie anataka kufanya sherehe kwa kupata chuokikuu cha dsm. Mchango 25,000. Kweli hii michango imezidi.
mie leo nimepewa kali ya mwaka. Kuna binamu yangu aliniambia last month kuwa bintiye anapata kipaimara. Nikamuambia poa. Leo ananiambia unajua wewe ndio Godmother wake? Kidogo nizimie. Manake hapo kuna blackmail ya kununua nguo ya mtoto (traditionally ndo inakuwaga kazi ya godmother), na bado kwenda manake anakaa mbali karibia na mbinguni! Nimechoka manake kiddo mwenyewe sijawahi kummeet, naskia alibatizwa hospitali ati nikaandikwamie!