umekopa muda wa kulipa umepita na bado haujalipa.
Lipa deni hyo msg hutaiona tena.
Nimetupilia mbali li-sim card lao, inbox imejaa mimeseji yao isiyo na kichwa wala miguu!hakuna kitu kama hicho unatafutwa ili uibiwe, mie juzi niliweka pesa kwenye Iphone nikajiunga na internet siku kwa sh 500, kesho yake wakaniunga tena bila kuwambia waniungisha mara nne mpaka hela ikaisha ndipo wakaacha, wanaweza kukutega hata kwa nyimbo ili ungie mkenge, kwa kweli sasa hivi wameanza wizi wa haina nyingi.
upo postpaid plan?