BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 956
Mh hii kama ingekuwa kule kwa AD vile! Ila mambo kama haya yanatokea mara chache sana compare na wanaume wanavopiga wanawake
Mnunu ungejua!Naomba nikuhakikishie katika hadhara hii ya MMU kuwa waume kibao wanakung'utwa na wake zao,au unataka tutaje majina?chunguza utaniambia,na hii attitude hii ya mme hawezi pigwa ndo inafanya wanaume wawe kimya huku wanaumizwa,fuatilia utaona.